Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Akijifanya mpuuzi mimi nakuwa mpumbavuMmmmh!!!
Akipanicnaachana nae
........
Akijifanya mpuuzi mimi nakuwa mpumbavuMmmmh!!!
Kama wewe umewahi na mimi nimewahi
.......
Mkewe ni mimiMkuu kwani mkeo yupo kwenye hii thread? Naona umenikomalia kweli, au ndivyo Mgeni anavyokaribishwa? ♂️♂️♂️♂️

Hili ni fumbo kubwa sana
Mkewe ni mimi![]()
Uharibifu Wa mazingiraHili ni fumbo kubwa sana
TOP TEN
Mzee wa Top 10 jamaa fulani hivi anaanza na herufi T leo sijaona dalili zake za kuiua halafu nimejikuta nipo free rofauti na ratiba yangu hivyo nimeona nishushe vitu tu
Kuna usemi kwamba Aliyelala usimwamshe huu usemi tangu niujue nikiwa Shule ya Msingi Tandake sijawahi kumwamsha mtu hata asinzie darasani atajibeba!!!
Pia inaaminoka kuwa mtu anayelalalala ovyo kamajongoo wakati hana tatizo lolote la kiafya wala ujauzito au uzee ni mtu mvivu ....kulala ni haki ya kila mnyama ila kulala kupitiliza ni dalili ya uvivu ingawa nvhini Finlandwana siku kabisa ya usingizi !!!
Sasa tucheki wanyama kumi wanaoongoza kwa kupiga usingizi duniani
Karibuni
..........
asanteeAnakuzingua tu,karibu mkuu![]()
![]()
Anakuzingua aisee, mpaka umelegea karibu ukapukuniMuulize kwanini hataki wageni?
Ugeni Gan huo kuingia nyumba za watu na kuulizia wanawake au ndo tamaduni za kwenu mkuu?Mkuu kwani mkeo yupo kwenye hii thread? Naona umenikomalia kweli, au ndivyo Mgeni anavyokaribishwa? ♂️♂️♂️♂️
Niambie tuAsante mwaya, Nikuambie kitu?
I love you more