makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,783
- 103,758
Kote hukoMpaka mgeni naniii
Na kule magenge ishilini
![]()
![]()
Mie n wewe tena.. pasu kwa pasu..
Unavyotaka ww na mie ndio nataka hvyo hvyo..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.

Damme on fleek..
Movie zake hazikosi mambo yetu yalllee..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
pilauPesa ndio kila kitu.. wee hangaika na viuno wee, six packs za kutosha ila ujue kuna kibonge mmoja nynya tena mzembe tu anakuibia..
Ndio...Ume"repeat again" kuonyesha msisitizo
Shimba,shededeEewaa.. ntakupa kipande..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Nataka ndio![]()
![]()
unataka?!
ila namuogopa mama atanichapa...
![]()
pilau
Shimba,shededeEewaa.. ntakupa kipande..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Sio kuzoea tu, nakupenda pia bila kusutwa anaumwa tena ile hoi kitandani.. basi hapo watokee watu wa2 wa3 wamsute.. oophh! Afueni na uzima unarud..
Tycoon MAKAVELI Jr.

Ohoooo mkuu plz....usinisingizieMwambie aje kujibebea..
Eti husna anasema maserat km waokota chupa za plastik mtaan sisi tukitumia wao wanakuja kubeba..![]()
hakyanan, husna huyyuu
![]()
![]()
![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Ananiangushia jumba bovu huyuhahahahahahhaa sio poa jamani
Madame S
HaaaaahaaaaOhoooo mkuu plz....usinisingizie
Msiwasifie mabonge nyanyaPesa ndio kila kitu.. wee hangaika na viuno wee, six packs za kutosha ila ujue kuna kibonge mmoja nynya tena mzembe tu anakuibia..
Ukitaka kuishi kwa raha na aman hapa mjin.. uwe na pesa na mbuno ujue kukata, pesa unampa na mbuno unampa..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()