KABUGHA
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 351
- 1,004
Kweli huyu wa kupuuzwa kabisa tusijemtia aibu akakimbia forumMchungaji ana mapepo yanamsumbua mpotezee.
Kweli huyu wa kupuuzwa kabisa tusijemtia aibu akakimbia forumMchungaji ana mapepo yanamsumbua mpotezee.
kwahiyo unashtaki paroko.Shem hawa wasambaa Youngblood na huyu mshamba mwenzie kabugha ni waajabu sana.
Walikuja kanisani kwa maombi yaani wana hirizi kubwa kama radio wanadai no antena zao.
Nimewaombea wameanguka chin wametapika na kuharisha sana.
Na wametokwa na mapepo balaa nashangaa wanatema mbovu
Ukatahiriwe wew unachafua jukwaa bureMchungaji ana mapepo yanamsumbua mpotezee.
Salama kabisa sijui weweHabari yako mkuu.
Shem mbona nakuhemshimu umekuwaje
Niko vizuri kabisa mungu anasaidia.Salama kabisa sijui wewe
Huyu mchungaji hajui tulianguka ili tumkinge na fedheha iliyokua inamnyemelea.
R I P Affen Shakur Davis![]()
![]()
![]()
Mama 2pac kafariki Jana usiku kwa ugonjwa wa moyo
R.I.P Affen Shakur
...................
Unatabia mbaya, mwanaume mzima hujatahiriwa huku unakojoa kitandani tukusaidie je?Hahaha.
Mapepo ya mchungaji yanadai kiswahili.
Asante kabughaWazima karibu linamo
Tatizo kikojozijamaa kashazoea mwenyewe.
Asante sanaNiko vizuri kabisa mungu anasaidia.
Pole na mihangaiko.
Wamemwaga mboga nami nime...kwahiyo unashtaki paroko.
Uparoko autoe wapi? Huyu kajitia mtumishi ili asikilize siri za waumini aje atangaze kapuku forum. Mengine sisemi namstir adijekimbia humukwahiyo unashtaki paroko.
Poa mama.Asante sana
Poa poa mkuuAsante kabugha
wazima sijui we.Wazima humu