Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Hahaha.Kabugha mbona huchangamki hujui kiswahil nin!
Mbona kilugha ulokichangamkia sana?
Mchungaji umeniacha hoi.
Hahaha.Kabugha mbona huchangamki hujui kiswahil nin!
Mbona kilugha ulokichangamkia sana?
Mimi kwangu alishindwa...Atapita hapa ooooh
Jambilo anaweza mkimbia ila ukiwa wewe itakua tunapiga jiwe kwa ndege wawili jambilo ana enjoy sauti lain na upako unaingia vile vile
Sie wazma my wiiWazima humu
Huyu mchungaji naona pepo limemkolea hadi anadai sijui kiswahilHahaha.
Mchungaji umeniacha hoi.
Asante my Wii. Kaka hajambo?Sie wazma my wii
Karibu
Kaka ako mzima ameshalalaAsante my Wii. Kaka hajambo?
Shem hawa wasambaa Youngblood na huyu mshamba mwenzie kabugha ni waajabu sana.
At. Madrid anachukua ndoo fainal man city na at. MadridREAL MADRID only.
Hii inawezekana.Asipo rudi ataanzisha uzi wa kuwadis
Wazima karibu linamoWazima humu
Hahaha.Huyu mchungaji naona pepo limemkolea hadi anadai sijui kiswahil
Sina iman na pastor jambiloShem hawa wasambaa Youngblood na huyu mshamba mwenzie kabugha no waajabu sana.
Walikuja kanisani kwa maombi yaani wana hirizi kubwa kama radio wanadai no antena zao.
Nimewaombea wameanguka chin wametapika na kuharisha sana.
Na wametokwa na mapepo balaa nashangaa wanatema mbovu
Habari yako mkuu.Wazima humu
Mchungaji ana mapepo yanamsumbua mpotezee.
Mkuu nipo hapa nkisubiri kuona road to MilanMaisha yako poa brother.
Mungu ni mwema.
jamaa kashazoea mwenyewe.Wewe unakataliwa na kila ke ujue unashida nashangaa unajofanya ya watu ndo unayajua
Anashida flanijamaa kashazoea mwenyewe.