Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Asante sana..... Sasa nikaribie nini?Karibu ukapukuni
Asante sana..... Sasa nikaribie nini?Karibu ukapukuni
Wewe unataka nini mama.Asante sana..... Sasa nikaribie nini?
Uparoko autoe wapi? Huyu kajitia mtumishi ili asikilize siri za waumini aje atangaze kapuku forum. Mengine sisemi namstir asijekimbia humu
ni akili zake.Mchungaji ana mashetani huyu.
Inategemea na menuWewe unataka nini mama.
Hapa kuna ugali na senene.Inategemea na menu
Salamu zaoHapa kuna ugali na senene.
Wewe utabaki kuwa pastor hata usemeje.Wakuu laleni salama ktk igizo hili nilicheza kama fake pastor.
Kwa wale wageni ambao hawakuusoma mchezo na nikawaudhi au kuwaumiza poleni, kwa wale makapuku wazoefu wanaelewa sana.
In reality im not a pastor wakuu.
Laleni salama kwa wale wasinziaji
Actually nikiwa pastor siwezi kufeki kwa hate that kind of blablaaWewe utabaki kuwa pastor hata usemeje.
We usijalibu kutushawishi tuamini kuwa wewe ni witch doctor wakati tunajua kabisa kuwa wewe ni pastor.Actually nikiwa pastor siwezi kufeki kwa hate that kind of blablaa
Mkuu napenda sana wew mwelewa sana, mabomu yote unayapanchi na kusonga mbeleWewe utabaki kuwa pastor hata usemeje.
Nafahamu mkuu hii ni chit chat ukileta panic za ajabu unakufa na presha....Mkuu napenda sana wew mwelewa sana, mabomu yote unayapanchi na kusonga mbele
Akinipa rasmi nitakujuza na ntakua nashuka verses kama hivi;We usijalibu kutushawishi tuamini kuwa wewe ni witch doctor wakati tunajua kabisa kuwa wewe ni pastor.
Huwezi kukimbia kazi uliyopewa na bwana.
Yani mkuu usitake mpaka Mungu akutokee kama Musa,unajua haya maandiko unayotupia ni zaidi ya mzee wa upako.Akinipa rasmi nitakujuza na ntakua nashuka verses kama hivi;
Efeso 3:20
Atukuzwe yeye atendayo mambo ya ajabu sana kupita yale tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu..amen
Kabugha hakusoma mchezo, mpe maelekezo huyo poti wako, atakula za kichwa bure ci wajua mimi hubadili mchezo ghaflaNafahamu mkuu hii ni chit chat ukileta panic za ajabu unakufa na presha....
Hivi unaempigia misele ni nani hadi upastor unaukana???Wakuu laleni salama ktk igizo hili nilicheza kama fake pastor.
Kwa wale wageni ambao hawakuusoma mchezo na nikawaudhi au kuwaumiza poleni, kwa wale makapuku wazoefu wanaelewa sana.
In reality im not a pastor wakuu.
Laleni salama kwa wale wasinziaji