Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1973 - Jay Jay Okocha anazaliwa.
Mwanasoka mahiri wa zamani wa Nigeria.
db32e2397db2c27263110178641b0869.jpg
0ef93e3faaf3548798a18db5ea4224ea.jpg
27b2a1f4f54e97b4257afafe17e76d68.jpg
:
Swali la kizushi
Kwanini hajawahi kuwa mwanasoka bora wa Ulaya wala dunia?
....
 
EPL NA MATOKEO YAKE ....

Mkuu Nyagei sijui kapost matokeo ila sio kesi ...kidogo tulichokiona


Nani anabisha kuwa mzee Wenger ni kawaida yake kuongoza ligi kabla na baada ya ligi kuanza ....utasema sio kweli alichokianza Mzee wenger pale juu ndo alichonacho mzee Jose na man u yake m..lakin ngoja kwani ulijua kuwa Kropp na Mane wake wangelifanyiwa yaliyotokea ?? Sio kesii ubora wa Okaka na Doucouce ndo ulichangiza salah atambue kuwa alichokuja nacho ni muhimu ya kile alichokikuta ....usishangae
Chelsea waliangushwa na nidhamu mbovu kabisa ya Mchezaji mzoefu na captain Cahill.... Hakukuwa na haja ya kucheza faulu ya aina ile. Timu ilianza kuumia kwanza kwa kosa la captain na baadae kwa mechi ijayo timu itaumia tena kwa kosa la kiungo mkongwe wa kati Cacs Fabregas.....apa zinapangwa formations mpaka ubao unajaa.... Nje ya hapo team work ya Chelsea ilikuwa kubwa kuliko 11 man wa Burnley....ila matoke yapo ya aina tofaut....isitupotezee mda make najua kapuku ni mtanzania kama mm tunapenda summary ....
Ebwaaaaaah .....hawa Huddersfield na ward J wao ukichanganya na Timbwili la huyu jamaa Mounie ... good start make mzuka walio panda nao ndo ule ule uliowashangaza wanyejiiii....ila kuzidi kumshangaa huyu mgeni ni jambo zuri kama jinsi mguu wa Rooney unavozidi kutakata ndani ya Everton wale waliokula vitumbua kwa mama ashura ......ila mazoea ndo yalivo mwache jamaa atese kwa wakati wake japo nyie southermpton mkaona ni bora mtoke nunge na swansea ...anyway ndo mwanzo huu na uzuri hapa kapuku hamna anayewafagilia ....
Pongezi kqa kwa Hegaz n West al yake ndo tunaitafuta mechi ya pili na biashara ni asubbh ......Achana na uchizi wa Dunk kabla ya kumpigia makofi Arguero ndo utajua hawa wageni bora wametangulia kumalizana na kibarua cha pep kabla ya kuwaombea wenzao mabaya yawatokee ..Brighton ndo mlichostahili na mpira ndo ulivo japo jezi yenu ninayooo ukiacha ile mistali ya pundamilia tuliyoizoea kwa Wakongwe hawa na mkongwe wao Bentez walikuwa hamna namna yeyote ya kumzuia huyu jamaa Eriksen kufanya anachostahili kufanya ....assists zako mjomba unazijua mwenyewe...mm sitii neno...

Najua hapa madenge na wenzako mmelala usingizi mnono kama Chicharito hajalala na viatu vyake ....ndioo mnajisemea kuwa kwa man yetu hii watatukomaa make status kuanzia whatsap mpaka fb ni lukaku ...ila kumpongeza Matic bila kumpigia yule mvaa miwani pale darajan na usajili wake utakuwa una lako jambo make mawazo yao ndo mafanikio yenu....shunie ongera sana mmeanza vizuri. ...

Anyway Epl tumeianza ....uliniuliza top 4 yangu ntakujibuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom