Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1935 - Rais Franklin Roosevelt wa Marekani anasaini rasmi sheria ya kuwalipa mafao " Pensheni " wastaafu wa nchi hiyo.
6f728a86815b1c3b6730f34598555acb.jpg
9e5f41ef22fb09617040ee2d67a7aec8.jpg
75e2d1343e2319ae8bb60b3ed2c22139.jpg
Huku bongo wastaafu wanalipwa pesa inayotosha kunywa soda
.....
 
Leo katika Historia

1945 - Japan yasaini na kukubali kushindwa kwake kwenye vita kuu ya pili ya Dunia na kufanya kumalizika rasmi kwa vita hiyo Duniani.
aaf3eada635adf996da616547e8479fd.jpg
cd03a8f7938a30cf50ef72b92648b327.jpg
f67edbc2840bf16fd819741f157fefb8.jpg

Maji yalizidi unga !!
Ilikuwa ni baada ya siku vhache tu walipoporomeshewa mabomu ya nyuklia na Wamarekani kiasi cha kumfanye Mfalme Akihito apooze
....
 
Leo katika Historia

1947 - Pakistan yajipatia Uhuru wake toka kwa Uingereza.

9241116a5d186d4f8d94c4ed951566f1.jpg
6b14e7329ec0719c163f3dbc4dc98d34.jpg
a6ee056f6c384ac2982c1582a8f11d44.jpg
Ilikuwa ni baada ya vuguvugu la Pakistan Movement ambapo Wapakistan walitaka Uislamu utenganishwe na sebemu ya Kaskazini Magharibi mwa Asia Kusini kwa kuanzisha Taifa huru la kiislamu
Vuguvugu liliongozwa na All India Muslim League
......
 
2/Abu Al--Qasim Mu Ammad Ibn Abd Allah
bddf0112af04c408b42b2c7d3374853e.jpg
78999669f3d1af55f73cffcac79987f7.jpg
65cba458e3cfc6b06f3154c78e9bc912.jpg

Aliishi kati ya mwaka 570 hadi 673 na sijui kaburi lake mahali lilipo
Kwawasio waislamu Mtume Muhammad ndio mwanzilishi wa Uislamu ila kwa wenye dini yao wanaamini/wanasema hakuanzisha chochote ....mimi simo wanadai Uislamu ulikuwepo kabla yake
Sasa nafiki ushaelewa maana ya Allah Akbar
Ameabdikwa kwenye vitabu kibao idadi haijulikani

Anatafutwa kwa mwezi X 14,000,000 ila hata kapicha hakuna!!
.......
8a1ba17d000e44de032278ad2bf6b6e9.jpg


Huyo apo

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom