Anataka kuwa tapeli wa mapenzi kwa dada zetu.Paroko nae imani haba.
Pambana sana mkuu..Kwani ndiyo tunachoomba hicho..Salama kaka, nimetingwa na kazi sana.
Usijali braza, hayo ni makosa madogo madogo ila nnachojua hapa huwa ni matani kwa wingi.Nimeuliza tu mpendwa! wala hukuwa na sababu ya kukwazika na post yangu.
Nilihitaji tu kuelimishwa katika hili.
Mmmmm basi sawaaaNamaanisha wanichukiao yaani watumishi wa shetani tu
Ukileta kiherehere hata demu mzuri hutapata, hela yenyewe hunaAnataka kuwa tapeli wa mapenzi kwa dada zetu.

Wateja wamekimbiaMbona Airtel hawakati?
![]()
![]()
![]()
Hujanibembeleza bhanaa,ujue twapenda kudekezwaa,mpaka naomba deko kwa shemeji manuuJamani upo kumbe! Rudi home bhana
Aje tu japokuwa nimegundua sio dadako bali ni ex wako na amekiri wakati huu alipoondoka kwangu mlikuwa mwakumbushia, aje nimemmissShemeji jambilo ni ndugu yangu kabisa..please we mwelewe na urudi hme maana hata wewe umeniambia kuna vitu unavimiss kutoka kwake..Sasa ili usizidi kuzulumu nafsi rudi tu shemeji yangu..
Wewe ni ndugu yangu na ukikosa uhaminifu na mimi juu ya shemeji yangu Patience123 utakuwa umenikosea mno...Maana siku zote nilijitahidi kumfariji kwa Tenz na Zabur..Hakika inabdi unitake radhi..Aje tu japokuwa nimegundua sio dadako bali ni ex wako na amekiri wakati huu alipoondoka kwangu mlikuwa mwakumbushia, aje nimemmiss
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo.Pambana sana mkuu..Kwani ndiyo tunachoomba hicho..
Hahahaaa...Ukileta kiherehere hata demu mzuri hutapata, hela yenyewe huna![]()
![]()
![]()
Mbona bado wapo wengi tu!?Wateja wamekimbia
Oyeee... Aje aje mkubwa.kapukuz oyeee
Duh na watumishi wa Mungu wanaachwa?Njoo swirr wangu