Makapuku Forum

Ni kweli kabisa maka kikubwa inabidi ujicontrol tu mwenyewe na hali yako au na maumivu yako kama unayo woiiiii mapenzi jamaan kwa nini lakini
THE POWER OF LOVE
Kuuma itauma ila inategemea na wewe unaruhusu maumiv yapenye kwa kiwango kipi.. ukiendekeza unaumia kweli unaweza hata kufa.

Hapa nimekuelewa sana maka kama mtu anakupenda sana na kukuthamini unaonyesha upendo ule ule ukiona humuelewi unaenda nae hivyo hivyo asante sanaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…