*Darasani*
*MWALIMU* Nakua mbona Leo unawaza sana darasani?
*NAKUA* kwasababu baba yupo polisi na mama yupo hospitali
*MWALIMU* ooh pole mwanangu, kwa hiyo unahitaji kwenda nyumbani?
*NAKUA* ndio MWALIMU
_NAKUA akaenda nyumbani, na MWALIMU akawauliza wanafunzi wenzie_
*MWALIMU* kwanini baba Yake NAKUA yupo polisi na mama yake yupo hospitali?
*wanafunzi* kwasababu baba yake ni polisi na mama yake ni nesi
*MWALIMU* pumbavu sana huyu mtoto! Mwiteni arudi
*
♂*