Kuna malaya ananizingua kanipigia simu nmemwambia nampenda nae kanijibu nakupenda pia.. mie nmemwambia wee muongo hunipend akauliza kwann nimemwambia km unanipenda kwanin hukuntongoza nmekutongoza mimi.. mimi ndio nakupenda, kakata simu, mie sipendagi mambo ya ajabu ajabu shabashi..