Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kutokana na wimbi la watu wengi hususan vijana sasa kuagiza magari na vipuri vyake nje huku wakiacha yanayotengenezwa nchini na kiwanda chetu cha Nyumbu kilichopo Mkuza Kibaha ama kuchukua yaliyokwisha kutumika, wadau taratibu zikoje ukitaka kuagiza mtoto lainiii kutoka Ethiopia ama Jamaica kwa matumizi ya nyumbani? Gharama za usafirishaji zitakuwa kwa wakala wa forodha mimi nikakabidhiwe tu bandarini ...natanguliza shukrani!
 
Kutokana na wimbi la watu wengi hususan vijana sasa kuagiza magari na vipuri vyake nje huku wakiacha yanayotengenezwa nchini na kiwanda chetu cha Nyumbu kilichopo Mkuza Kibaha ama kuchukua yaliyokwisha kutumika, wadau taratibu zikoje ukitaka kuagiza mtoto lainiii kutoka Ethiopia ama Jamaica kwa matumizi ya nyumbani? Gharama za usafirishaji zitakuwa kwa wakala wa forodha mimi nikakabidhiwe tu bandarini ...natanguliza shukrani!
Nitafute mkuu
 
Unaaga sasa hivi unalala kweli au ndo yale mambo yako ya unaaga lakini bado tupo wote mpaka usiku wa manane??
Leo nalala mapema
naomba nihakikishie kama ombi langu limekubarika ili niweze kulala kwa amani.
 
Aise! Kesho tena basi
Hakika utabaki kuwa dada nikupendae sana, nakupenda sana hata hakuna mfano wake, nikuonapo moyo wangu hujaa furaha ya ajabu. Dada naomba kesho asubuhi nikupeleke kazini, saa ya lunch ntakupitia tukale pamoja, na jioni pia tutarudi wote, au wasemaje dadangu mpendwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom