Makapuku Forum

Jamaa namkumbuka kichiz ni genious.. ana mchango mkubwa katika physics na mathematics, kusahaulika ni ngumu cz utakachotaka kukifanya lazima utapita katika njia yake kwa namna moja au nyingine utarecall either kanuni hata laws.. 100% amenifanya niipende sana physics..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikiaga kuna papa paul wa 1 sijui wa 6.. huyu nadhan anakuwa wa 0


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…