Muziki: Usiku wa Manane
Sijui kama ni sahihi kuanza kusalimia muda huu, maana utaianzaje salamu sasa wakati hata mwenyewe baada ya nukta tu nitalala. Well, nikutakie usiku mwema. Unajua nafasi yako hapa jukwaani haiwezi kulinganishwa na chochote. KF ni sehemu nzuri kwa kuwa wewe ni sehemu yake.
Utakuwa umenote kitu, mahudhurio yangu wiki jana na hii yamekuwa down sana, ni kwa sababu , kama ni mpira basi timu yangu inashambuliwa na refa kapoteza kipyenga linesmen virungu vimeloa kwa hiyo inabidi hadi kipa akabe.
Kifupi nimetingwa na nikamuomba
shululu aweke muziki au member yeyote ambaye ataweka kwenye mida segment ya muziki inapoanza baada ya 10 kubwa. Shululu umekuwa kimya hebu mawasiliano yako. Niwashukuru
lee empire mjomba wangu huyu,
Jimena kwa historia,
Nyagei kwa sports,
Shunie kwa neno na sala,
husna muba kwa hadithi na maarifa kwa ufupi bila kumsahau
Bitoz
Ninyi watu
Tumosa ninakuangalia tu, maana kutokuwemo humu sio kwamba sisome fitna zote, ha ahahhaah,
dumejeuri asante kwa kulichangamsha jukwaa,
mzeewakungoa asante mdau,
makaveli10 ,
Madame S ,
BlessedHope ,
Transcend ,
Mondray ,
dingimtoto ,
demi ,
Curious gal na wewe ambaye sijakutaja maana usiku umeenda, ni jambo zuri kuwa hapa