Makapuku Forum

[emoji524] Ee Mungu wa sifa zangu usinyamaze
Kwa maana wamenifumbulia kinywa, kinywa cha mtu asiye haki, cha hila wamesema nami kwa ulimi wa uongo

Naam kwa maneno ya chuki wamenizunguka, wamepigana nami bure [emoji524]

ZABURI 109:1-3

Muwe na usiku mwema mlindwe na damu ya Yesu [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…