shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Morning Madame sAkapiga na ngoma ya baikoko??????Morning jamani
Madame S
Morning Madame sAkapiga na ngoma ya baikoko??????Morning jamani
Madame S
HBD abebeLeo katika Historia
1932 - Abebe Bikila anazaliwa.
Ni mwanariadha kutoka Nchini Ethiopia.
HBD Paul LambertLeo katika Historia
1969 - Paul Lambert anazaliwa.
Ni kocha wa zamani wa Norwich na klabu ya Aston Villa.
Asante ankali kwa historia bora kabisa![]()
Kwa udhamini mnono wa Chia seeds sina la ziada kutoka kwenye leo katika historia
Niite Jimena Jimenes
Nawatakia week njema yenye mafanikio na furaha tele!
Ana imagine sauti yako, subiri ajeBabu mzeewakungoahutaki kupitwa aisee unafukua makaburi kama mpendwa wa binamu obe
Hongwra SimbuView attachment 560092Nawatakieni wote jumatatu njema
Fine Madame, &youHow are u?
Madame S
Pamoja sana mdauHongwra Simbu
.
.
.
.Ahsante mdau
Uwe pia na siku njema
....
OKAm fine nashukuru Mungu
Madame S

Hiyo ni NBA Africa huko SauziHawana mahusiano shemela walikutana tu pamoja wakaamua kupiga picha si unajua tena watz wanajua fursa
Leo katika Historia
1960 - Ivory Coast inajipatia Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Kumbe kuna demu wa kizungu humuHow are u?
Madame S
Tunajua lakini usikatishe utamuMr x ni baba yake Shelby
Leo katika Historia
1998 - Balozi za Marekani zilizopo Kenya na Tanzania zalipuliwa katika tukio la kigaidi na kuua takribani watu 212.
Waliohusika katika tukio hilo ni kikundi cha Kigaidi cha Al Qaeda chini ya uongozi wa Osama Bin Laden.
Mtanzania Mohamed Ghailani kutoka Zanzibar ndiye aliyehusika katika mlipuko wa Tanzania, na alikamatwa huko Pakistani miaka minne baadae na kwa sasa anatumikia kifungo chake huko Guantanamo Bay.
Mi nilishawaza hivyo before youMr x atakuwa mzee mwinchande nawaza tu akili za asubuhi jamaan Baba D asante san![]()