Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nishamjibu mie zetu mwendokasiMuulize Shunie
Nishamjibu mie zetu mwendokasiMuulize Shunie
Ndioo maana ni kasema mieee kama weweyangu nilishauza mda sana aisee nimebaki na leseni tu
AiseeeeDada usinyonge ujue
Ndioo maana ni kasema mieee kama wewe




tunatembea na lesen zilizoexpire woiiiiiiPoaAkikujibu dada uniite
Cool ya kumfananisha mume wangu na umaga au???Ahaaa,mbona mi sinaga hiyo mambo niko cool tu
Mie nimejikomboa na baiskelNishamjibu mie zetu mwendokasi
Heheeetunatembea na lesen zilizoexpire woiiiiii
Me dada muoga baiskel ilinishinda toka mdogo jamanMie nimejikomboa na baiskel
Acha tupambane na mwendokasi zetuHeheee
Ilibidi niijue tu mieee...Me dada muoga baiskel ilinishinda toka mdogo jaman
Haya bhanaaAcha tupambane na mwendokasi zetu
Sawa dada angu pambana na gari yako ujueIlibidi niijue tu mieee...
Ohooo....Cool ya kumfananisha mume wangu na umaga au???
MmmmhSawa dada angu pambana na gari yako ujue
Yote maishaOhooo....
Aiseeyangu nilishauza mda sana aisee nimebaki na leseni tu