shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kucheka ni muhimuCheka tuu
Kucheka ni muhimuCheka tuu
Sura tu, sio ulivyomaanisha shemela![]()
![]()
![]()


hiyo hiyo sura shemela ndio nilimaanisha halaf ukuje unijibu lile swali langu unanikwepa tu ile miguu ulipost ile masiku usiku ilikua ya naniiii
Shemela watafanyaje la sivyo torch zingewakoma mabarabarani hukoWakome kabisa
Waliompa kura wanajuta sana, ila sisi wa mabadiliko tuko poa kabisaKweli shemela umemaliza ujue nawaza tu apa hivi anajua ye anatawala milele au yaan kuna vitu vingi sana vinashangaza bora kura yangu nilimpigia mzee wa mabadiliko roho yangu ingeniuma sana
Si ndio mana ya GB1 shemelaAisee, uchochezi huo
Haya shemela wanguBasi nisameheni jamaan na dada angu
Ili kuongeza siku vizuri shemelaKucheka ni muhimu
Ndio hivyo, na jamaa huwa haeleweki kabisaYaani leo nimejikuta nacheka lakini naumia maana itifaki haijazingatiwa
Sanaaa shemela tuna amani zote ujueWaliompa kura wanajuta sana, ila sisi wa mabadiliko tuko poa kabisa
Hebu itume niione, maana mimi sijawahi post miguuhiyo hiyo sura shemela ndio nilimaanisha halaf ukuje unijibu lile swali langu unanikwepa tu ile miguu ulipost ile masiku usiku ilikua ya naniiii
Sijakusoma hapo shemelaSi ndio mana ya GB1 shemela
Hebu itume niione, maana mimi sijawahi post miguu




au ilikua akili ya chini shemela hapana aisee usijifanye umesahau au wine ilikuwa inafanya kazi
Shemela bana sakayo alisema mumewe ni gb1 nikasema kama alivyo ruge ukaniambia niache uchochezi nikakwambia ndio mana ya gb1Sijakusoma hapo shemela
Sana aisee shemelaSanaaa shemela tuna amani zote ujue
Nimekupata shemelaShemela bana sakayo alisema mumewe ni gb1 nikasema kama alivyo ruge ukaniambia niache uchochezi nikakwambia ndio mana ya gb1
Lakini si shangai ni tabia za baadhi ya makabila maana mda mwingi wanasema bila kupima uzito wa neno na athari zakeNdio hivyo, na jamaa huwa haeleweki kabisa
Mpendwa vipiii jamaan mkewe nipo hapa kuna shida gani tenaBaba d