Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mawazo yangu ni kuwa mkuu wetu hajui aongee nini wapi, wakati gani na linahusu nini, ishu ya kitaifa inapokuwa ya mipasho inaondoa maana kabisa

Kwa ujumla mimi nimewadhalau sana
Kweli shemela umemaliza ujue nawaza tu apa hivi anajua ye anatawala milele au yaan kuna vitu vingi sana vinashangaza bora kura yangu nilimpigia mzee wa mabadiliko roho yangu ingeniuma sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom