Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Itakuwa yale mabus, simba mtoto


wenye mabus wanalalamika mafuta hawajawekewa
Itakuwa yale mabus, simba mtoto


wenye mabus wanalalamika mafuta hawajawekewa
Umjue wa nini KwanzaaShemela me simjui jaman anamjua dada tu mwenye mumewe me namjua baba d wangu tu
Kama ruge vileeeMume wangu 1GB Upooo

Inafika, ila wewe na baiskeli ni vitu viwili tofautiKwani baiskel haifiki au
Amjue wa nini sasaaa.... Mpaka tuwowane ndo atamjuaKwa hiyo mdogo wako hamjui T?
Hapaswi kumsema shemeji yakeKweli ipi
Cheka tuuAisee haaaaahaaaa
Kweli shemela umemaliza ujue nawaza tu apa hivi anajua ye anatawala milele au yaan kuna vitu vingi sana vinashangaza bora kura yangu nilimpigia mzee wa mabadiliko roho yangu ingeniuma sanaMawazo yangu ni kuwa mkuu wetu hajui aongee nini wapi, wakati gani na linahusu nini, ishu ya kitaifa inapokuwa ya mipasho inaondoa maana kabisa
Kwa ujumla mimi nimewadhalau sana
Sura tu, sio ulivyomaanisha shemelaShemela me simjui jaman anamjua dada tu mwenye mumewe me namjua baba d wangu tu

Ndio hapo sasa jamaan acheni niendelee kumjua lee wangu tuUmjue wa nini Kwanzaa
WoyoooooooooAmjue wa nini sasaaa.... Mpaka tuwowane ndo atamjua
Wakome kabisawenye mabus wanalalamika mafuta hawajawekewa
Basi nisameheni jamaan na dada anguHapaswi kumsema shemeji yake
Aisee, uchochezi huoKama ruge vileee![]()
Yaani leo nimejikuta nacheka lakini naumia maana itifaki haijazingatiwaMawazo yangu ni kuwa mkuu wetu hajui aongee nini wapi, wakati gani na linahusu nini, ishu ya kitaifa inapokuwa ya mipasho inaondoa maana kabisa
Kwa ujumla mimi nimewadhalau sana
NimekupataAmjue wa nini sasaaa.... Mpaka tuwowane ndo atamjua