mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Kwema mzee mwenzangu.... Vp Vale bado uko au ndo mshamwagana?Hadi nitajwe mzee ndiyo nione.... kwema lkn
Kwema mzee mwenzangu.... Vp Vale bado uko au ndo mshamwagana?Hadi nitajwe mzee ndiyo nione.... kwema lkn
Ulimissika pia.Nimekumiss dada....
Karibu makapuku.
Kwani hawa ni vikongwe kama mimi?Oooóh.. Muulize faiza foxy au miss chagga
Aseeh kama pamekamilika ni aheri, Niliacha pale kwa mrefu ndiyo panabomolewa. T mzee mimi 2020 ndiyo nitageukaHahaaaa....
Noona jamaaa, wamepunguza, jam arusha..
Nakusindikizaa na tunasindikizana...ha hahahahha, wewe mzee wa kungoa huaminiki kama mmasai, na lazima tuwe macho sana na wewe maana huishii kuangalia tu unataka na picha.
Kwa waganga kwa kweli mimi huwa naenda na nitagraduate hivi karibuni,
Weee tutakurogaaaaTumosa umeamini?waganga wamemdanganya
Haha hili swali chokonozi... ila kama kweli unamtaka mimi sina hiana bwanaKwema mzee mwenzangu.... Vp Vale bado uko au ndo mshamwagana?
Hahaaaaa....Aseeh kama pamekamilika ni aheri, Niliacha pale kwa mrefu ndiyo panabomolewa. T mzee mimi 2020 ndiyo nitageuka




Unfortunately, umekosa kura yangu ungeipata kama ungekuwa magharibiHahaaaaa....
2020 nitakuwa, nagombea Arumeru mashariki bhana![]()
100 %Kwani hawa ni vikongwe kama mimi?
SirogekiiiiiiiiiWeee tutakurogaaaa
Kama huamini uchawi hurogeki... Hii ndo principle.Weee tutakurogaaaa
Hapana mzee Ila wewe kwa hit and run umetisha!!!!Haha hili swali chokonozi... ila kama kweli unamtaka mimi sina hiana bwana
Eeh...Unfortunately, umekosa kura yangu ungeipata kama ungekuwa magharibi
Aaàh, haya mambo yanaishia humu humu... afadhali nyie makapuku mnavushana server.Hapana mzee Ila wewe kwa hit and run umetisha!!!!
Muziki: Jumatano August
U khali gani kapuku mheshimika, inawezekana ikawa muda wa kusalimia umepita sana maana tulisalimiana asubuhi na jioni hii inapaswa tuulizane tu siku yako ilikuwaje. Kwangu siku ilikuwa poa, japo mambo yanakaba lakini hayajaninyima nafasi ya kuja humu kuonana na wewe mtu bora kabisa unayelifanya Jukwaa hili kuwa la kipekee. Unajijua kuwa wewe ni mtu bora kabisa ndo maana KF inapendeza.
Leo 10 kubwa zimechelewa na sio mbaya zikiingiliana na muziki, na muingiliano huu usikupelekee kuwa na mawazo machafu, mawazo bakanifu. Ni suala la muda tu na si unajua KF ndani ya JF ni kama kokoro, likivutwa linaleta kila kitu na bila kusahahu KF ni kama utawala wa malkia, kwingine leo ni Alhamisi watu wanajiandaa na Ijumaa. Asante kwa mliotuamsha kwa magazeti, sala, hadith, BBC, historia na sports. Asante sana wadau.
Leo hakuna ubaya nikisema humu sio kwamba hatuwezi kukosana, umoja wetu naamini unaletwa na mitizamo tofauti tuliyonayo, tofauti zetu ndo umoja wetu. Utashangaa nasema nini, usikonde nitakugusia maana tumeongea na SHIMBA YA BUYENZE na hakuna ubaya kati yetu na hata aliponiita fala nilicheka tu maana hata yeye anajua huko ninakotoka Fala ni jina la mtu tena kabatizwa, hujui, jina Francis linafupishwa kuwa Fala 😀
Muziki sasa, ni ngumu sana kuutambua muziki wa Tanzania, kuna sababu nyingi za hili lakini linaweza kuwa ni kutokuwepo kwa utashi wa kisiasa kuufanya utamaduni usambae maeneo mengi. Ni mada ndefu ngoja tu nikwambie huu muziki wa singeli unaweza kututambulisha endapo utashi utakuwepo kwa sana. Burudika wakati tukiitafuta Alhamisi