Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/Maddalena Granata
e0ed5ea134844fa3bc88c9c67ecea765.jpg
2a3be3c20aae37e2cb470fca8fe7d119.jpg

Ni binti wa kitaliano aliyezaliwa 1839
Aliolewa akiwa na umri wa miaka 28 na kujaaliwa kupata watoto 52 huku 49 wakiwa wa kiume
Wengi wakiwa ni mapacha watatu watatu(triples)

..........
 
Muziki: Jumatano August

U khali gani kapuku mheshimika, inawezekana ikawa muda wa kusalimia umepita sana maana tulisalimiana asubuhi na jioni hii inapaswa tuulizane tu siku yako ilikuwaje. Kwangu siku ilikuwa poa, japo mambo yanakaba lakini hayajaninyima nafasi ya kuja humu kuonana na wewe mtu bora kabisa unayelifanya Jukwaa hili kuwa la kipekee. Unajijua kuwa wewe ni mtu bora kabisa ndo maana KF inapendeza.

Leo 10 kubwa zimechelewa na sio mbaya zikiingiliana na muziki, na muingiliano huu usikupelekee kuwa na mawazo machafu, mawazo bakanifu. Ni suala la muda tu na si unajua KF ndani ya JF ni kama kokoro, likivutwa linaleta kila kitu na bila kusahahu KF ni kama utawala wa malkia, kwingine leo ni Alhamisi watu wanajiandaa na Ijumaa. Asante kwa mliotuamsha kwa magazeti, sala, hadith, BBC, historia na sports. Asante sana wadau.

Leo hakuna ubaya nikisema humu sio kwamba hatuwezi kukosana, umoja wetu naamini unaletwa na mitizamo tofauti tuliyonayo, tofauti zetu ndo umoja wetu. Utashangaa nasema nini, usikonde nitakugusia maana tumeongea na SHIMBA YA BUYENZE na hakuna ubaya kati yetu na hata aliponiita fala nilicheka tu maana hata yeye anajua huko ninakotoka Fala ni jina la mtu tena kabatizwa, hujui, jina Francis linafupishwa kuwa Fala 😀

Muziki sasa, ni ngumu sana kuutambua muziki wa Tanzania, kuna sababu nyingi za hili lakini linaweza kuwa ni kutokuwepo kwa utashi wa kisiasa kuufanya utamaduni usambae maeneo mengi. Ni mada ndefu ngoja tu nikwambie huu muziki wa singeli unaweza kututambulisha endapo utashi utakuwepo kwa sana. Burudika wakati tukiitafuta Alhamisi

 
4/Barbara & Adam Stratznann
366f109bbc5612eb4656be8d5fd49eba.jpg
21cdf830790db40590e217a94c156838.jpg

Ni wanandoa wa Kijerumani wa karne ya 15
Walijaaliwa watoto 53
Wakiume 38 na wakike 11(sijakosea kujumlisha)
Walipata mapacha Wa kawaida mara 4
Walipata mapacha watatu(triples) mara 5
Watoto wao wanne walikuwa na jinsia mbili
............
 
Muziki: Jumatano August

U khali gani kapuku mheshimika, inawezekana ikawa muda wa kusalimia umepita sana maana tulisalimiana asubuhi na jioni hii inapaswa tuulizane tu siku yako ilikuwaje. Kwangu siku ilikuwa poa, japo mambo yanakaba lakini hayajaninyima nafasi ya kuja humu kuonana na wewe mtu bora kabisa unayelifanya Jukwaa hili kuwa la kipekee. Unajijua kuwa wewe ni mtu bora kabisa ndo maana KF inapendeza.

Leo 10 kubwa zimechelewa na sio mbaya zikiingiliana na muziki, na muingiliano huu usikupelekee kuwa na mawazo machafu, mawazo bakanifu. Ni suala la muda tu na si unajua KF ndani ya JF ni kama kokoro, likivutwa linaleta kila kitu na bila kusahahu KF ni kama utawala wa malkia, kwingine leo ni Alhamisi watu wanajiandaa na Ijumaa. Asante kwa mliotuamsha kwa magazeti, sala, hadith, BBC, historia na sports. Asante sana wadau.

Leo hakuna ubaya nikisema humu sio kwamba hatuwezi kukosana, umoja wetu naamini unaletwa na mitizamo tofauti tuliyonayo, tofauti zetu ndo umoja wetu. Utashangaa nasema nini, usikonde nitakugusia maana tumeongea na SHIMBA YA BUYENZE na hakuna ubaya kati yetu na hata aliponiita fala nilicheka tu maana hata yeye anajua huko ninakotoka Fala ni jina la mtu tena kabatizwa, hujui, jina Francis linafupishwa kuwa Fala 😀

Muziki sasa, ni ngumu sana kuutambua muziki wa Tanzania, kuna sababu nyingi za hili lakini linaweza kuwa ni kutokuwepo kwa utashi wa kisiasa kuufanya utamaduni usambae maeneo mengi. Ni mada ndefu ngoja tu nikwambie huu muziki wa singeli unaweza kututambulisha endapo utashi utakuwepo kwa sana. Burudika wakati tukiitafuta Alhamisi


Asantee binamu japo huu sujui ndo mziki upii ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom