Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,195
Sidai oleng lalashe,Eroo Keiyaa
Sidai oleng lalashe,Eroo Keiyaa
Waganga waongo Obe....wanakupa dawa ya kupata utajiri lakini wao wenyewe kandambili rangi tofauti.
Hadi nitajwe mzee ndiyo nione.... kwema lknWewe mtoro sana..... Unajua napata tabu wa kuzungumza nae![]()
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha..... Kumbe ngombe hazeeki maini eeh... Mimi nilikuwa sijui.... Ebu ngoja tuone.Hahhaaaa...
The world is now naked..
Oooóh.. Muulize faiza foxy au miss chaggaHa ha ha ha ha ha ha ha ha..... Kumbe ngombe hazeeki maini eeh... Mimi nilikuwa sijui.... Ebu ngoja tuone.
Jana na leo
Eeeka mbee mangyiTOP TEN
Leo nilibanwa pia sikupanga kuandika kitu
Hivyo napost marudio kwa faida ya ambao hawakuwepo siku husika zen nacheki game la Man Utd
Juzijuzi kuna mwanamke alizua gumzo barani Afrika kutokana na kuwa na watoto 38 wakati ana umri wa miaka 37 tu yaani anafyatua fastafasta kuwazidi hata panya!
Sasa leo tuwaone wengine wenye watoto wengi hapa tunazungumzia zaidi wanawake au ndoa za mume na mke mmoja ila kuna usemi
Mama pekee ndiye ajuaye baba halisi wa mtoto
Km kawa wazungu maana waafrika hatuna utamaduni wa kutunza kumbukumbu wala kujitangaza kwenye mitandao hivyo inawezekana huko Musoma wapo wengi tu
Karibuni
...........
Hujambo wee bintiJana na leo
35 children?9/Mr & Mrs HarrisonHawa ni wanandoa wa huko London Uingereza miaka ya 1700 hivyo picha zao kuzipata ni tatizo![]()
Walijaaliwa kupata watoto 35
..........
Hahaaaa....Hadi nitajwe mzee ndiyo nione.... kwema lkn