Happy birthdayLeo katika Historia
1970 - David James anazaliwa. Ni golikipa wa zamani wa England.
Umetishaa auntLeo katika Historia
1984 - Bastian Schweinsteiger anazaliwa.
Ni kepteni wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani na pia anacheza katika klabu ya Man United. (Sina hakika bado yupo man united)
Katika ubora wake alisifika zaidi kama Box to Box Midfielder yaani alikuwa na uwezo wa kukaba timu inaposhambuliwa na kushambulia pindi timu inaposhambulia.
Hivi bado yupo United kweli huyu??.
Hivi unaonajee kipapaii kwa huyu vip
Kweliii kabisaaKipapai tu hakimtoshi, tumpige na kinanasi tunamshushia na kipepsi. Asituchezee kabisa huyu
Pamoja sana mkuuShululu popote ulipo asante kwa dondoo za magazeti na j4 njema wana Jf
WA faida wakati yeye amekuwa kama scavenger.... Anafuatilia michepuko yako... Wakimkubali anapiga kimya.... Wakimkataa anakuchongea kwa Shunie![]()
Ha ha ha ha ha ha..... Kumbe hizi anazovujisha ni bashraf tu.Siwez ana siri zangu kibaoo
Hongera zaoLeo katika Historia
1981 - Televisheni ya MTV yaanza rasmi kurusha matangazo yake huko Uingereza.
HBD JamesLeo katika Historia
1970 - David James anazaliwa. Ni golikipa wa zamani wa England.
HBD kanuLeo katika Historia
1976 - Nwanko Kanu anazaliwa.
Nyota wa zamani wa mpira wa miguu toka nchini Nigeria aliwahi kutamba na timu za Ajax, Arsenal na Portsmouth.
Ha ha ha ha ha ha..... Kumbe hizi anazovujisha ni bashraf tu.
United hayupoLeo katika Historia
1984 - Bastian Schweinsteiger anazaliwa.
Ni kepteni wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani na pia anacheza katika klabu ya Man United. (Sina hakika bado yupo man united)
Katika ubora wake alisifika zaidi kama Box to Box Midfielder yaani alikuwa na uwezo wa kukaba timu inaposhambuliwa na kushambulia pindi timu inaposhambulia.
Hivi bado yupo United kweli huyu??.
Asante kwa leo katika historia ankali JJAhsanteni kwa kuwa nami, kwa udhamini mnono wa CHIA SEEDS sina la ziada kutoka kwa meza hii.
Kwaherini kutoka katika meza ya historia
Niite Jimena Jimenes
![]()
Jipatie Chia seeds sasa kwa afya bora wewe na familia yako!
Wewe nshakujua unataka niachikee kwa shunieeHa ha ha ha ha ha..... Kumbe hizi anazovujisha ni bashraf tu.