Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Salama kabisa shemNko poa za masiku
Salama kabisa shemNko poa za masiku
Ngoja tumpe mudaCjui katekwa jamaani
Unataka kumngoa husna nn ??
Usijali Obe mimi mtu wa milimani sielewani na watu wa maziwa makuu... Wala usisikilize uchochezi wowote.kwanza kwa uzee nilio nao mimi ni mtu wa kukaa nyumbani na kucheza na wajukuu zangu tu.Asante sana ila huu ukubalianaji wako nautizama kwa makini sana, maana adui ndugu
Mimi ni babu yako ujueWewe endelea tu kukubali mapenzi ya watu msalimie geisha
Binamu sasa ngoja nikwambie ujue mjomba wako aliniambia eti binamu obe kakupeleka kwa mganga nini..yaani wewe ndo mjomba wangu wa ukweli, unajua mbinu zote za watu wenye hila, yaani una uzoefu na michongo yote ya mzeewakungoa
Halafu anko unajua kuna watu wanakulisha maneno hukuyasema wanasema umesema hata mimi sijasema wanasema nimesema.
Inabidi list ya wabaya tuiunganishe wabaya wangu wawe wako na wabaya wako wawe marafiki zangu
Daah we na mpendwa wa binamu hamna tofauti kwa kupenda viporoNgoja tumpe muda
Kwani babu we una miaka mingapiUsijali Obe mimi mtu wa milimani sielewani na watu wa maziwa makuu... Wala usisikilize uchochezi wowote.kwanza kwa uzee nilio nao mimi ni mtu wa kukaa nyumbani na kucheza na wajukuu zangu tu.
Ha ha ha ha ha ha.... Unanikumbusha ule usemi tulipokuwa wadogo.... Tulikuwa unamwambia rafiki yako : 'Aaa wewe na mimi dam dam.. Mke wako mke wangu mke wangu dadaako ....ha ha ha ha...yaani wewe ndo mjomba wangu wa ukweli, unajua mbinu zote za watu wenye hila, yaani una uzoefu na michongo yote ya mzeewakungoa
Halafu anko unajua kuna watu wanakulisha maneno hukuyasema wanasema umesema hata mimi sijasema wanasema nimesema.
Inabidi list ya wabaya tuiunganishe wabaya wangu wawe wako na wabaya wako wawe marafiki zangu
Mbona Shunie unanitia aibu... Yaaani hujui umri wa babu yako kweli?Kwani babu we una miaka mingapi
Eti shem hadithi ilishaendeleaDaah we na mpendwa wa binamu hamna tofauti kwa kupenda viporo
Hakuna namna mtatuelewa tuDaah we na mpendwa wa binamu hamna tofauti kwa kupenda viporo
Nakupenda sana na sitochoka kukwambia hivyo
Hivi wewe rafiki umeenda wapi siku hizi, Niitie SakayoHawajambo kabisa shemela sema baba d hajisikii vizuri
Znantosha babuHapo ndo umefurahia au hukuzipenda munibadilishie?
Nilitaka kushangaa na kumchumia dhambi ndugu yangu shululu . Mimi nakujua wewe ni shabiki wa ukweli yaani nisamehe bure. Halafu hawa watoto utundu wao utawafikisha level za Tundu Lissu kielimu hasa huyu J mkubwa
sawa binamu endlea kuwaombea wawe kama tundu lissuKupatwa kwa binamu,cjui kalishwa nn na muha hyuBinamu yangu jaman yupo in love![]()