Shemela umechekesha sana aisee, nusura nipate majanga
Dada umeamkaje lakini nakumiss tu mimi jaman
kweli shemela acha tu kuna siku nilimuamkia akanijibu halaf sipendi mimi mambo ya kuzeeshana kwahiyo nimempa taarifa kabisa mke mwee mume wangu hataki kuzeeshwa
Leo katika Historia
1844 - Franz Wolfgang Mozart anafariki.
Alikuwa ni mpiga kinanda, gita na piano kutoka nchini Austria.
Ni mmoja kati ya wapiga piano bora kabisa katika historia ya Ulimwengu.
Pia alijulikana kama Little Mozart.
Shikamoo yngu ni heshima ya utunzi wa hadithi atiHalaf usimzeeshe Baba D wangu mke mwee hiyo shikamoo haelewani nayo kabisa
Alete tu mke mweee me nilitingwa hata cmu ckuwa na hamu nayo,kwani ile nyingine aliimalziaTupo poa mke mwee jaman nilikumiss tu mimi mpendwa wa binamu anataka kuleta story mpya kaona we haupo kasusa eti
Asante baba wawili hbr ya asubuhi hiiMama JJ karibu
Mic u mke mweee,nmeona umeanzishiwa uzi na shemela buanaSafi mke mwee jaman
Mornn mzeeWisdom of the day: Mistakes are being committed by both the strong people and the weak ones. The only difference is that while the strong people admit their mistakes... The weak ones look for excuses.... MORNING EVERYBODY.
Hope u r doin wellMorning my love
Nko poaSalama mke mwee jaman za wewe
MazoeziUngeanguka jee ulikua unakimbia nini jamaan
Yes shemShem
kweli shemela acha tu kuna siku nilimuamkia akanijibu halaf sipendi mimi mambo ya kuzeeshana kwahiyo nimempa taarifa kabisa mke mwee mume wangu hataki kuzeeshwa
Na yeye ni binadamu hukosea na pia hujisahau
Born into the elite class Parsi family of India, the Tata family, he was the son of notable businessman Ratanji Dadabhoy Tata and Suzanne Brière, the first woman in India to drive a car. Muhammad Ali Jinnah, the founder of Pakistan, was married to Tata's niece, Rattanbai Petit. Tata became the first licensed pilot in India, in 1929. He is best known for being the founder of several industries under the Tata Group, including Tata Consultancy Services, Tata Motors, Titan Industries, Tata Tea, Voltas and Air India. In
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wako na wa shululu ni tofaut ??Aaaah huyu mr.x mbona antusumbua akili hivi,
Hbr ya asubuhi wapendwa hope mko wazima
Iko vizuri sana mama JJAsante baba wawili hbr ya asubuhi hii
Leo katika Historia
2013 - Christian Benitez " Chucho" anafariki Dunia.
Ni mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ecuador.