Makapuku Forum


Ahsanteni kwa maombi
Niwatakie Siku njema
....

 

Saluti kamanda
& HBD
.....
 
Amen, ubarikiwe sana mtoto wa Mama mchungaji, nawe pia siku njema
 
Leo katika Historia

1971 - Abu Bakr Al Baghdadi anazaliwa.

Ni kiongozi wa kundi hatari la Kigaidi la Islamic State. ( ISIS )

Julai 12 kuna tetesi kwamba Warusi qaliishambulia ISIS na kufanikiwa kumuua

Hili ni kundi linalofadhiliwa na Wamarekani kwa maslahi yao + kuuchafua Uislamu
....
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…