Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,202
- 44,598
Jana kaja kisha kapoteaMoyo sio wa nchi hii kajisemea dada angu sakayo aisee nitafanyaje sasa
Jana kaja kisha kapoteaMoyo sio wa nchi hii kajisemea dada angu sakayo aisee nitafanyaje sasa
Nimeona shem wane, pako vizuri sanaUsijal shem wane si umeona leo tulivyochanganya
Kila mtu ana mipaka yake
Yupo sema humu hajaingiaJana kaja kisha kapotea
Asikumalize awe zimwi likujualo
Si wanakwepaa majukumu ...acha wappende vya dezo...mm na binamu wangu wa faida tufaidHapo sawa sio hapa jukwaani tutawatesa wasio na wake
Atakuwa siasani huyoYupo sema humu hajaingia
Muziki: Kwanini Isiwe Mbili Wakati Una Moja
Ni Jumatano leo na inaishiria, naamini hakuna ubaya nikijiaminisha kuwa umekuwa na siku nzuri sana leo ambayo ni mwangwi wa namna siku ya kesho itakavyokuwa. Kama haikuwa siku yako, worry not, kesho ni siku nyingine tena na kama ada, jua litawaka tena. usisubiri sana though.
Hakuna ubishi kuwa wote, well nisifanye sweeping generalization maana huchelewi kutaka datum ambayo kiukweli haya ni mawazo yangu tu na nimejiamisha tokana na kuyakabili mazingira. Kuwa na wivu wa maendeleo si kitu kibaya, kukinzana kwa ajili ya kurahisisha maisha si jambo baya, kutofautiana kwa ajili ya kujenga umoja si jambo la kukemewa. Kila mmoja ana mawazo sahihi kwa wakati sahihi, na leo nakukumbusha tu kuwa kuridhika si tabia ya mwanadamu. Tufanye tunayofanya kwa ajili ya kujiletea maendeleo na kurahisisha maisha. Popote ulipo hongera sana kapuku kwa kile unachofanya.
Muziki sasa, wakati wanaanza walikuwa watatu Nhlanhla Nciza, Theo Kgosinkwe na Tebogo Madingoane baadaye Tebogo mwaka 2004. Wanaitwa Mafikizolo, na pamoja na kifo cha Tebogo bado wameendelea kufanya vizuri katika muziki wakichanganya mitindo ya kisasa na ile ya jadi na kuwafanya kuwa ni kundi la kipekee ambalo maonesho yake huhudhuriwa na wapenda burudani wengi.
Burudika Kapuku muheshimika na kumbuka, wewe ni mtaalamu unayelifanya Jukwaa hili liwe la kipekee.
Baadaye tutakuwa na chaguo la Wapendanao na leo mtaasisi mwenzangu kajaa kwa chaguo lake
Muziki wa Wadhamini
Naamini ukimya uliotamalaki humu kwa makelele haumaanishi mmelala bali mnavuta pumzi, kitu ambacho ni muhimu sana.
Kapuku nakushukuru sana na umuhimu wako humu, yes wewe unayesoma hapa hauelezeki, sina kipimio cha kupima umaarufu wako. Tumeamka asubuhi kwa magazeti na shululu , BBC na UF chini ya lianko langu lee empire , na tukashukuru kwa sala na Shunie . Nani hakuipitia historia ya leo nimwambie Jimena atukumbushe na kisha tukapata 10 kubwa na mtaalamu mwenyewe Bitoz , asanteni sana wadau. Na sisahau mambo ya michezo chini ya mtaasisi mwenzangu Nyagei
Sitaki kuharibu mchango wa mdhamini wetu wa usiku huu Shunie ambaye hatajali endapo nitawakumbuka wafuatao maana ninawakumbuka sana na wakiburudika na hizi nyimbo ni furaha kwangu, uko wapi husna muba , Arusha baridi limekufunika Clkey , mama wawili Tumosa unajua unavyonifanya kujisikia amani hapa unaniunga mkono kwenye harakari zangu, simsahau Mondray na Transcend mapumzikoni. Uko wapi Mkushi wa kusi , Mndali ndanyelakakomu ,mzeewakungoa , Madame S , koncho77 , dingimtoto , dumejeuri demi usipotee sana, Linamo , BlessedHope umemisika sana.
Mdhamini ambaye ambaye ni aunt yangu hatajali kuwataja wadau hawa hapa. Nisimkasirishe mdhamini kwa blah blah zangu akaninyima safari yangu muhimu.
na hapa anakuja Darasa na B. Pol
tuwe na usiku mwema makapuku wote
Nzuri kabisa shemela wa mimiSalama shemela wangu za wewe apo
mfaidi nini sasa wahamiaji haramu au vyeusi mangalaSi wanakwepaa majukumu ...acha wappende vya dezo...mm na binamu wangu wa faida tufaid
AmenEe Bwana uyasikilize maneno yangu ukuangalie kutafakari kwangu
Uisikie sauti ya kilio changu Ee mfalme wangu na Mungu wangu kwa maana wewe ndiwe nikuombaye
ZABURI:511:2
Muwe na usiku ulio mwema sana
Shemela naomba mbadilishe avatar muweke nyingine ya kina jj au Baba D kasema muwabadilishe nguoNzuri kabisa shemela wa mimi
D na baba ake wazima sana mke mwee hivi mke mwee siku nikikuambia unibadilishie avatar ya kina jj unazo nyingine eenh uliwapiga picha nyingi eenh
Shemela msicheke jamaan mana kakimbia bada ya kumwambia hivyo na we sijui utakimbia
Vibongemfaidi nini sasa wahamiaji haramu au vyeusi mangala