Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ni kweli ila nazungumzia apate hizo 80 kibindoni alafu mane atibue kati make mapafu anayo kuanzia nyuma ya mstari mpaka ndani kabisaApo anatakiwa Coutinho awe kati.. Mane kulia Salah kushoto... Firminho false 9. Utastarehe.
Ila ikitokea kudaadeeekiiii jamaa hajauzwa na Mane arudii jamvini weka na guu la dhahabu la Salah daaadeeekii Liverpool kama nawaona wakitesa kwa zamu ...ila mabeki ndo nina wasiwasii ...
Ila msimu hujao patakuwa patamu make hata westham kaamua ...