Makapuku Forum

Makapuku Forum

Arsenal wanakabiliwa na kupata hasara kwa mshambuliaji wake Lucas Perez, baada ya Deportivo La Coruna kutoa pauni milioni 9 kutaka kumsajili mchezaji huyo, 28. (Evening Standard)
 
Mancheter City wanajaribu kuwapiku Real Madrid katika kumsajili Kylian Mbappe, 18, kutoka Monaco. (Daily Mirror)

Manchester City wapo tayari kutoa pauni milioni 160 kumsajili Kylian Mbappe katika harakati za Pep Guardiola kujenga kikosi chake. (ESPN)
Man City wazee wa kurundika
f10f413b5ab95b89cde9a94121acd38e.jpg

Mbappe akiwa na 14 yrs
Chumba chake kimejaa picha za CR7
.....
 
TOP TEN
John F Kennedy JFK anafahamika kama miongoni mwa Marais wa Marekani waliokaa madarakani muda mchache zaidi
Sasa leo tunawajadili viongozi waliokaa madarakani(walioyatumokia madaraka) kwa muda mchache zaidi
Kati yao hakuna aliyefikisha hata kawiki kaamoja akiyatumikia hayo madaraka aliyoyapata/pewa
Hapa kuna Wafalme,Wawaziri wakuu n.k

Karibuni
..............
 
10/Sultan Khalid Bin Bargash
c7e51578062c3b7c441aaa64d41a1092.jpg
713afc3eddd2e862ca06e9ad8344a7a4.jpg

Huyu alikuwa Sultani wa Zanzibar mnamo mwaka 1869 baada ya kifo cha binamu yake lakini akaonja madaraka kwa siku mbili tu
Waingereza baada ya kusikia Bargash kawa kiongozi wa Zanzibar walimpa masaa 24 aachie madaraka kwa hiyari yake lakini akawagomea na kupelekea baada ya siku moja kupita Waingereza watume meli zao za kivita na wanajeshi
Hapo ndo ikazaliwa vita iliyojulikana kama Anglo Zanzibar War ambayo ilidumu kwa muda wa dk 38 pekee iliyoisha August 27 1869 na kuwa Vita fupi zaidi kuwahi kutokea duniani
Wakati wa vita hiyo Wazanzibar waliokufa na kujeruhiwa ni 500 wakati Mwingereza aliyeumia ni mmoja pekee, boti mbili zilizama

Hivyo jamaa alitawala kwa siku 2 tu
.............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom