SwaafNiaje mazee hope mko bombaa..
Kawaida tu mbona mdauNaona kuna mapenzi mubashara yanaendelea..nitambulisheni na mimi niwajue muhenga wa makapuku
Mancheter City wanajaribu kuwapiku Real Madrid katika kumsajili Kylian Mbappe, 18, kutoka Monaco. (Daily Mirror)
Man City wazee wa kurundikaManchester City wapo tayari kutoa pauni milioni 160 kumsajili Kylian Mbappe katika harakati za Pep Guardiola kujenga kikosi chake. (ESPN)
Swaaf
Afadhali umekuja utuandikie Top 10 tunasubiri
![]()
![]()
![]()
....
Samahani Rafiki... Coutinho is priceless.Kiungo mshambuliaji wa Liverpool Philippe Coutinho anakaribia 'sana' kujiunga na Barcelona (Mundo Deportivo)
Hakuna mwabdishi mzuri zaidi ya mwibgine tunatofautiana swaga tuLabda Topten ya mabata, mm sio mwandishi mzurii
Hakuna mwabdishi mzuri zaidi ya mwibgine tunatofautiana swaga tu
Leo ni zamu yako
....
Utani tuDaaah bro ungenipanga nikajiandaa sio mambo ya kukurupuka haya..
Utani tu
Usijali
.....