Makapuku Forum

Makapuku Forum

Man City wazee wa kurundika
f10f413b5ab95b89cde9a94121acd38e.jpg

Mbappe akiwa na 14 yrs
Chumba chake kimejaa picha za CR7
.....
Aisee
 
9/Diasdado Cabello

51ed2618c894957224504e8723a80fbc.jpg
be7f71f0f51b445e06596b5eb62feb45.jpg

Alizaliwa April 1963
Huyu bwana alionja Urais wa Venezuela kwa muda wa siku moja pekee baada ya Rais kujiuzulu kufuatiia kuonekana anasapoti ubepari
Hivyo Cabello akachukua madaraka kisha akamchagua Hugo Chavez kuwa Makamu wake halafu yeye mwenyewe akajiuzulu na Chavez kuwa Rais...mchezo ndo ulivyochezwa na kuisha kijanjajanja

Yaani kautumikia urais kwa muda wa siku moja pekee

..........
 
8/Ratu Tevita Momoedomu
0e301dcb2e9e11bb0ee8913abdf25488.jpg
8a4265a9ae777a1b09a2b6cfb0925c8d.jpg
Alizaliwa Januari 13 1946
Huyu jamaa alikuwa Waziri mkuu wa Fiji katika muhula/vipindi viwili vifupifupi kama stuli za Tandae pae Manzese..
Mwaka 2000 alikaa madarakani kwa masaa mawili pekee wakati mwaka 2001 alikaa madarakani kwa siku mbili
Mwaka 2000 yalitokea mapinduzi/maasi ambapo yeye pekee akajikuta ndo amebaki kwenye jengo la serikali hivyo kuwa kiongozi kama ngekewa vile halafu mwaka 2001 akachaguliwa tena baada ya kuachia madaraka ili kukidhi matakwa ya kikatiba
...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom