Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Wazungu tu hao, wengine tupo na brown + black
Wazungu tu hao, wengine tupo na brown + black
Demu kafuata umaarufu tu wa jamaaNimeipenda hiyo note
Pia sitoshangaa akapata mwenza maridadi kabisa
Good nature
Waooow I will
Kuna siku ilikuja humu kama Je wajua
Vichaa walikutana
Ni muda wa kujitoa kwa wasaniiDondoo za bbc.
Wawakilishi katika bunge la Marekani wamepiga kura kwa wingi kuweka vikwazo vipya kwa Urusi, Iran na Korea ya Kaskazini , urusi vikwazo vyake ni kuhusiana na shutuma za kuingilia uchaguzi wa Marekani mwaka jana na washirika wake kuwa na silaha za nyuklia na kuzifanyia majaribio kadhaa
Madaktari nchini DRC wapunguza huduma kwa wagonjwa kuelekea mgomo wa kudai maslahi yao
Je ,wanawake na wanaume wana nafasi sawa kugombea viti vya kisiasa nchini Kenya
Mazishi na maziko ni sherehe muhimu ya mwisho ya kuwaenzi na kuwasindikiza wafu katika nyumba zao za milele na ulimwengu mpya wa kiroho chini Ghana
Wasanii maarufu waishio barani Afrika ikiwemo Tanzania huishi maisha ya kutojichanganya na watu katika maisha ya kawaida isipokuwa katika shughuli maalumu, kwa kuhofia kuzongwa na mashabiki au kuwindwa na maadu
AminMorning guys hope mko pouwa niwatakie asubui njema yenye baraka na mafanikio Mungu atutangulie katika shughuli zetu za kutafuta mkate wa siku Inshallah Amin![]()
WatchmenPopo wa jf?
Leo katika Historia
1947 - Rais wa Marekani anasaini muswada wa kuanzishwa kwa Shirika la Ujasusi nchini humo ( CIA ) pamoja na United States Airforce pamoja na idara ya Ulinzi.
Yote hii ni kutokana na tishio la vita baridi toka Urusi.
Bado drama zinaendelea
Barabara ya wapi hiyo?
Hao wachina watayajuaje matusi ya kiswahili?
Great, pass our greetings to him?He is physically fit and emotional stable
Madame S
Leo katika Historia
1953 - Fidel Castro pamoja na Camilo Cienfuegos wanaongoza jaribio lililoshindwa la kujaribu kuvamia Moncada Barracks na hiyo inasababisha kuanza kwa vuguvugu la Mapinduzi ya Cuba.
Na hapo ndio mwanzo wa kuundwa kwa " 26th July Movement " kikundi kilichopambana kuikomboa Cuba.
Leo katika Historia
1957 - Carlos Castillo Armas anauliwa.
Alikuwa ni kiongozi wa Guatemala.