Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia


1947 - Rais wa Marekani anasaini muswada wa kuanzishwa kwa Shirika la Ujasusi nchini humo ( CIA ) pamoja na United States Airforce pamoja na idara ya Ulinzi.

Yote hii ni kutokana na tishio la vita baridi toka Urusi.
 
Leo katika Historia

1953 - Fidel Castro pamoja na Camilo Cienfuegos wanaongoza jaribio lililoshindwa la kujaribu kuvamia Moncada Barracks na hiyo inasababisha kuanza kwa vuguvugu la Mapinduzi ya Cuba.

Na hapo ndio mwanzo wa kuundwa kwa " 26th July Movement " kikundi kilichopambana kuikomboa Cuba.
 
714d8d7b0efc99564ff4cf8fce9dc142.jpg

Hii ni kweli
Msisifie
Wazee si wanamaliza dawa?
.......
 
Dondoo za bbc.

Wawakilishi katika bunge la Marekani wamepiga kura kwa wingi kuweka vikwazo vipya kwa Urusi, Iran na Korea ya Kaskazini , urusi vikwazo vyake ni kuhusiana na shutuma za kuingilia uchaguzi wa Marekani mwaka jana na washirika wake kuwa na silaha za nyuklia na kuzifanyia majaribio kadhaa

Madaktari nchini DRC wapunguza huduma kwa wagonjwa kuelekea mgomo wa kudai maslahi yao

Je ,wanawake na wanaume wana nafasi sawa kugombea viti vya kisiasa nchini Kenya

Mazishi na maziko ni sherehe muhimu ya mwisho ya kuwaenzi na kuwasindikiza wafu katika nyumba zao za milele na ulimwengu mpya wa kiroho chini Ghana

Wasanii maarufu waishio barani Afrika ikiwemo Tanzania huishi maisha ya kutojichanganya na watu katika maisha ya kawaida isipokuwa katika shughuli maalumu, kwa kuhofia kuzongwa na mashabiki au kuwindwa na maadu
Ahsante mdau
Nikutakie Siku njema
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom