Makapuku Forum

Manchester City wamedhamiria kufunga dirisha la usajili kwa kumwaga fedha kwa kumsajili Alexis Sanchez, 28, au Kylian Mbappe, 18. Pep Guardiola hatoridhika mpaka ampate Sanchez anayedhaniwa kuwa na thamani ya pauni milioni 50 au Mbappe ambaye ada yake inaweza kufika pauni milioni 100. (Daily Mail)
 
Manchester United huenda wakamsajili kiungo wa Bayern Munich Renato Sanchez, 19, kwa mujibu wa meneja Carlo Ancelotti, lakini Arturo Vidal, 30, haondoki kwa mabingwa hao wa Bundesliga. (Independent)
 
Paris Saint-Germain wamewapa Barcelona kiungo Marco Verratti pamoja na pauni milioni 90 juu, ili kumsajili Neymar. (Diario Gol)
 
Kiungo wa Chelsea Mason Hunt, 18, amesaini mkataba mpya wa miaka minne kabla ya kwenda Vitese kwa mkopo. (London Evening Standard)
 
Winga wa Borussia Dortmund Ousmane Dembele anataka kwenda Real Madrid baada ya kukata tamaa ya kusubiri dau kutoka kwa Barcelona. (Don Balon)
 
Mshambuliaji wa Arsenal Lucas Perez, 28, anataka kuondoka Emirates baada ya kuhisi "kusalitiwa" kufuatia namba yake ya jezi, 9, kupewa Alexandre Lacazette. (La Voz de Galicia)
 
Swansea wamekubaliana na Manchester City kuhusu usajili wa Wilfried Bony, lakini wana wasiwasi na madai ya mshahara wa pauni 130,000 kwa wiki. Swansea wanahitaji mshambuliaji kutokana na uwezekano wa Fernando Llorente kuondoka kwenda Chelsea. (Wales Online)
 
Nalo neno la Bwana likamjia likinena huyu hatakurithi bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakaekurithi

Akamleta nje akasema tazama sasa mbinguni kazihesabu nyota kama ukiweza kuzihesabu, akamwambia ndivyo utakavyokuwa uzao wako

Akamwambia Bwana naye akamhesabia jambo hili kuwa haki

Kisha akamwambia mimi ni Bwana niliyekuleta kutoka uru wa wakardayo nikupe nchi hii ili uirithi

MWANZO 15:47

Muwe na mchana mwema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…