Kweli husna sio vizuri kama swala la shimba kaamua mwenyewe kutoka msimuongelee basi hata kwa mafumbo lakini mambp hayaishi ndio mana anakujaga kujibu me bwana ukikosea nakwambia kama utakasirika nisamehe tu
Shumii umenichekesha walahi eti wengine vichwa ngumuu hahaaa..Mie nimeshamaliza endeleeni na yenu ndio mana watu wanapashindwa humu si wengine vichwa ngumu tu
Ila hatukulenga uliyemuhisiMie nimeshamaliza endeleeni na yenu ndio mana watu wanapashindwa humu si wengine vichwa ngumu tu
ThanksHello Sakayo... You back? Warmly welcome back to the KF.
Kuna niniiAcheni madongo jamaan daah humu wote watu wazima mjue ndio mana watu wengine wanapaogopa sana wengine wametoka kila mtu ana uhuru wa kufanya anachojisikia msipende kukwaza wengine na mafumbo badilikeni mtaharibu jukwaa ukiongea sio lazima umfumbie mtu jamaan
Najua mwayaWoyoooooooooooooooo my dada ndani ya mjengo yaan una bahati nisingekuona leo unajua mnuno wake ungekuwa si wa nchi hii
Kuna niniiiMie nimeshamaliza endeleeni na yenu ndio mana watu wanapashindwa humu si wengine vichwa ngumu tu
OkayIla hatukulenga uliyemuhisi
Enewea umeongea kitu poa na umeeleweka
Haina shida
........