Siku ile tumeweka dau na wale washikajii tunafika hospital wale wanne wakatimua mbio siri ule mshiko tunajipatia mchemsho kwa kufojiii karatasi na kipind hicho hatujui positive anakuwaje na negative anakuwaje...
Unakumbuka wee ulijaza positive kama sikoseiii ...au nimekoseaa
Binamu muandike kwa pencilHa hahahahaah, aingie kwenye list yetu anko. Huyu nahisi ndo alisema ile ishu ya juzi
Ha ha ha ha ha ha ha.... Usishtuke.. ..nakuweka Sawa tuNiijuaa urafikii wako kwangu kuna kitu umekilengaaa
Got youOoh sorry! Broo i mean't "brother"
post using my macbook air using jamiiforums app
Great, ni furaha kusikia hivyoKwemaaa
Ni dawa nzuri sana aisee shemelaAiseeee si mtu unaweza kuwa chizi kama kichwa chako chepesi
I thought you were coming from the States.What's pal?
post using my macbook air using jamiiforums app
Madame S,tatizo kubwa sana kwetu ni mapokeo tuUnajua shululu ni rahisi sana kusema hivo sababu haujakumbwa pengine na hali hiyo
Ila pamoja na kua unajua fika mienendo yako, kupima ukimwi kunakuaga na shock flani hivi yan sjui inatokaga wapi
Madame S
Siku ile tumeweka dau na wale washikajii tunafika hospital wale wanne wakatimua mbio siri ule mshiko tunajipatia mchemsho kwa kufojiii karatasi na kipind hicho hatujui positive anakuwaje na negative anakuwaje...
Unakumbuka wee ulijaza positive kama sikoseiii ...au nimekoseaa
Jana uliongea kiswahili vizuri tu kwahiyo leo umeshaenda usa baby eenh
Ooooooh unazungumzia endometrium/ kuta au vitu vinavyopatika ndani ya uterus kuwa nje ya uterus (mfuko wa uzazi)Ugonjwa wa hormone kujizalisha nje ya uterus something endometriosis
Sanaa nilikuwa naupenda kweliUle wimbo shangazi ulikua mzuri jaman
..yaani unakuta mtu ana mpenzi mmoja tu au hana kabisa lakini kila mwezi anaenda kupima! Huku ni kuharibu rasimali za serikali, wapime wahitaji.
Yaani ukipima halafu ukatoka negative unapaswa ushitakiwe kwa kuchezea vifaa tiba vya serikali.
Huwa sitakagi mchezo kwenye masuala ya mali za umma🙁
Mimi narogaa sina mda wa kupigana na weweUna mazoea ya kupigana na vikongwe?
Nikija unguja nitakutafuta dumejeuri, last week nilikuwa hukoMkuu bila kusahau kashata za bangi tamu sana hua napata na gahawa pale kikwajuni zenjibar
Usinikmbushee lile timbwilliii dadeeeekii nikikuchekii umekazana twende twendeee....Ha hahahahah, walikimbia sana na hasa yule ambaye kanisani ndo anasoma matangazo na wanakwaya kiongozi. Ila anko ulikuwa unatetemeka japo ulivaa suti lakini niliona hadi colar inatetemeka.
usingeongea na yule mpimaji sijui ingekuwaje, tukajinywea supu yetu swaafi. si ndo siku ile uliondoka na yule mhamiaji haramu au ni baada ya hapo.