Huu ugonjwa ni hatari sana aisee2/KiharusiKitaalamu unaitwa Stroke kwa Lugha rahisi ni kupooza
Ikumbukwe ili ubongo iweze kufanya kazi unahitaji hewa ambayo husafirishwa kupitia kwenye damu hivyo chakula cha ubongo ni damu sasa kiharusi hutokea pale damu inapofeli kufika ubongoni au kufika chini ya kiwango kwa sababu mbalimbali mfano mishipa kupasuka, shinikizo la juu la damu n.k
Mgonjwa wa kiharusi sio tu hupooza mwili bali pia akili
Huua watu 6.1 Milioni kwa mwaka
.................
Wapumzike kwa amani huko walipoMi mwenyewe nimeuguza balaa na mwisho nikampumzsha mtu muhimu kwenye familia
Unatesa sana
.....
Woyoooooo binamu mauwa ndio bado eenhMdau siioni kwangu, nimebahatika leo , kumbe simu yangu waweza fanya screenshotView attachment 549355
Sawa sawa mkuuHii ndiyo yenyewe, ngoja usiku ufike
HajagomaAmegoma mke mwee
Tatizo sisi tumekariri kuvuta bangi, bangi inapikwa mboga, inakaushwa na kusagwa unga, unaweza kunywa kwenye chai au ujiHalafu bange kwenye kile kipulizio cha.matrafic huwa haionekani kama ulevi.
Nipo cuzoo za weweCuzzo upo?
AhaaaaaaaaBila hiyana kiongozi nakupeleka ulingoni uone pambano moja heavy kuliko hilo lijalo
Ngumu kumesa bhanaaa.I just said, kupima afya hukupa uhakika wa afya yako na hukufanya uweze kua makini zaidi
Ukikutwa unao utapewa ushauri nasaha sema sasa kuukabili ukweli kwamba nimeathirika ndio pagum
Madame S
Nilikafanikisha, ila kafupi sana, nilijua labda ni kama 1hr au zaidi/chiniSawa mkuu
Halafu vipi kale ka kideo ulishafanikisha?
Una ukabbili tu bila shidaI just said, kupima afya hukupa uhakika wa afya yako na hukufanya uweze kua makini zaidi
Ukikutwa unao utapewa ushauri nasaha sema sasa kuukabili ukweli kwamba nimeathirika ndio pagum
Madame S
Asantee1/Ugonjwa wa MoyoMoyo ndo injini ya mwili na waswahili husema kazi ya moyo ni kusukuma damu ..kupenda ni kiherehere Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababisha na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua Yusuf Manji ila bwana yule na jamaa yake hawamwonei huruma wamekomaa tu na Mhindi wa watu ...tumuombee
Huua watu takribani milioni 7.2 kwa mwaka
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
........
Nakumis auntAsante Lee
Makosa yenu ni yale yale kumbuka hata ule msimu Suarez yupo on fire ligi mliongoza kwa kitambo ila Crystal Palace ndio akakusimamisheniWeka aisee
Msimu ulio isha nadhani ni uzembe tu wawachezi kupuuza baadhi ya mechi hizi mana hatuaja poteza point katika mechi zote ngumu kwakweli
Utamaduni wake unamruhusu
Halafu ukiangalia orodha ya jlo ni ndogo tu ukiilinganisha na ya Wema wakati kiumri Wema ni mdogo sana
Kweliii shemela
Ujauzito ni nusu ugonjwaHili tatizo hizi nchi maskini ni kama linazidi kujua tu
Ndio yeyeHivi ndio yule wa Monaco?