Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hbr ya zenji
Zenj huku safi Tu karibu tende hapa nakula
1fbf60337370f804a7191d7773214455.jpg


Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
 
Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi

Asiuache mguu wako usogezwe asisinzie akulindaye.

Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi yeye aliye mlinzi wa Israel.

Bwana ndiye mlinzi wako, Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume jua halitakupiga mchana wala mwezi wakati wa usiku.

Bwana atakulinda na mabaya yote atakulinda nafsi yako.
Bwana atakulinda utokapo na uingiapo Tangu sasa na na hata milele

Zaburi 121:1:8

Muwe na mchana mwema mbarikiwe sana
 
Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu u katika Bwana aliyezifanya mbingu na nchi

Asiuache mguu wako usogezwe asisinzie akulindaye.

Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi yeye aliye mlinzi wa Israel.

Bwana ndiye mlinzi wako, Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume jua halitakupiga mchana wala mwezi wakati wa usiku.

Bwana atakulinda na mabaya yote atakulinda nafsi yako.
Bwana atakulinda utokapo na uingiapo Tangu sasa na na hata milele

Zaburi 121:1:8

Muwe na mchana mwema mbarikiwe sana
Ubarikiwe shemeji nawe pia uwe na mchana mwema..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom