Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,063
Asante shemela wangu mie kwa magazetiView attachment 548411Kutoka magazetini sina la ziada tukutane tena kesho Nawatakieni jumapili njema
Asante shemela wangu mie kwa magazetiView attachment 548411Kutoka magazetini sina la ziada tukutane tena kesho Nawatakieni jumapili njema
Sasa ndio tujiongezeWanagharibi wakiona upo dhidi yao wanakuita Dikteta
Dikteta Mugabe
Dikteta Gaddafi
Dikteta Mussoloni
Dikteta Hitler
Dikteta Pinochet
Dikteta idd Amin
N.k
Ila sijawahi kumsikia Dikteta Mmarekani wala Mwingereza
![]()
![]()
![]()
.......
Mie ndio mana team uzalendo ilinipitia kushotoTangu kuzaliwa kwangu sijawahi kumuona chizi/kichaa/mwehu/mwendawazimu akipona ....huwa nawaonaga tu wanatuliza mizuka au vichaa vyao
Mwinyi aliona mbali kulifananisha hilo litimu na kichwa cha mwendawazimu
Kuishabikia Stars ni kujipa stress & magonjwa ya moyo
.....
Ndio wakina nani tena hawa jaman
Tuondokane na utumwa wa akiliUtumwa wa fikra n mbaya sana
Asante cuzoo kwa historiaNa mpaka hapo basi sina la zaidi kutoka katika historia
Nawatakia jumapili tulivu huku mkitafakari kuhusu wiki ijayo!
Naitwa Jimena Jimenes
Ciao
Leo katika Historia
1892 - Ni siku ya kuzaliwa kwa Mfalme wa Ethiopia, Haile Selassie. Pia ni siku ya Rastafari duniani.
Jah Rasta Fari and I![]()
Nilikumiss ujue cuzzoAsante cuzoo kwa historia
Me moree cuzoo naona tunapishana jamaanNilikumiss ujue cuzzo
Ni kweli lakini Mimi siku 2 hizi nachungulia tu, Niko busy hatari nadhani ndio sababuMe moree cuzoo naona tunapishana jamaan
Itakua hivyo cuzoo jana nilishinda sana kuanzia jioni nilivyoingiaNi kweli lakini Mimi siku 2 hizi nachungulia tu, Niko busy hatari nadhani ndio sababu
Hahahaa wewe bana mbona me niko happy always!! Ila shunie alinifurahisha zaidiKumbe siku zote huchukia
![]()
![]()
![]()
.....
cellphone am using nao



smartphone?
Wadhamini wa Leo
Nawashukuru sana kwa kuwa hapa na zaidi kuendelea kuwa hapa, sasa tupate mapumziko kidogo ya wadhamini.
Na leo itakuwa ni different a bit as our own buddy, shedede is sponsoring this song, you can sing if you want as we don't talk anymore.
I hate to guess if this choice has something to do with him being shunned (not Shunie ) out with someone I am in elo o vii ii. NOMYB everyobody has their way to cope with stress. Enjoy
Njema u good?Habar wana family....
post using my macbook air using jamiiforums app
Nipo fresh cash madame..Njema u good?
Madame S