Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ameshawaonyesha
d8152aaa20404d793a34df7a986cc683.jpg
Aisee
 
Good evening every body here,

Real missed you my friends
-obe
-lee empire
-husna muba
-shunie
-shimba ya buyense-hey my brother whetever you are many greating to you.
-mzeewakungoa
-shululu
-tumosa
-mndalindanyekokamu

And all who are not in the list.....
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]

post using my macbook air using jamiiforums app
Afande shedede niaje
 
Wadhamini Wetu

Imekuwa ni siku ya taratibu leo humu jukwaani, hakuna ubaya, kila siku na siku yake. Kuna siku unapata na kushinda na kuna siku unakosa na kushindwa. Hii ndo inaitwa Nikomele
Asante Shunie kwa chaguo hili ambalo japo naona u-USA mwingi bado wamependeza sana


 
Muziki: Simba Akinyeshewa Usidhani Paka

Ni muda mzuri mheshimika sana Kapuku mwenzangu ambaye siku ya leoo Ijumaa, TGIF nachelea kusema sijachelewa kukusalimia. Unajua kabisa ni lazima nikusalimie maana wewe ni member muhimu humu na unalifanya jukwaa hili kuwa zuri sana. asante kapuku wewe unayejitolea muda na resources zako nyingine kulifanya jukwaa hili liwe Jukwaa la kushindanishwa na majukwaa mengine. KF haijitangazi, inatangazwa na sababu ni kuwa wewe upo hapa. Endelea kuweka input tuwe wa kipekee.

Naamini tumekuwa na wakati mzuri, binafsi mambo ya casual friday ndo ilikuwa na hadi muda huu bado niko naifurahia Ijumaa, unaweza usifanye kama mimi maana tunatofautiana muda, mtaji na wanaotuzunguka. TL sasa hivi amezungukwa na manjagu amehakikishiwa usalama wake. Kuna mambo sio ya kuchekea, kwa sababu huwa hayaishii kwa mtu mmoja tu, wakimaliza kwake watakuja kwa jirani yako na kisha watakuja kwako, kondoo hasifiki kwa upole.

Muziki sasa, leo tumekuwa na mengi humu, asanteni sana kwa wote mliotuamsha kwa kila kipengele, na zaidi asante kwa wote mliochangia kwa kila kimoja iwe kwa kusoma au kuandika. Kusema asante nakurudisha miaka michache nyuma wakati ambapo muziki wa studioni ndo unatamba na zipo nyimbo zilizobamba wahenga wa leo hadi nyie wahenga wa kesho.

Muziki utajieleza zaidi

Nakupenda kapuku mwenzangu maana unalifanya jukwaa hili kuwa mahala pazuri pa kutembelea



Asante binamu
 
Bora kumsubiri mbududa tu,amekuwassap kwenye no ya dogo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilimpa no ya dogo aisee naona uvivu kusoma jamaan ngoja mbududa kesho aendelee tu sielewi kule ndio mambo ya elf 3 yapo vile me yamenishinda
 
Wadhamini Wetu

Imekuwa ni siku ya taratibu leo humu jukwaani, hakuna ubaya, kila siku na siku yake. Kuna siku unapata na kushinda na kuna siku unakosa na kushindwa. Hii ndo inaitwa Nikomele
Asante Shunie kwa chaguo hili ambalo japo naona u-USA mwingi bado wamependeza sana



[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] binamu yangu mimi apa na baba d santeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom