Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Kuongea mambo ya kuhongwa story ujue mwisho wake nitakatazwa hata kusoma story zenyewe jaman
poleee sisemi tena
Hapo sawa ya kule yaishie kule kule![]()
![]()
poleee sisemi tena
Mi najisubilia vya bure tumama jj au baba jj akulipie elf 3
......sio hisia tena aunt, ni ukweli usiona na kutu kuwa nampenda na ninambembeleza hadi namuimbia
hadi najionaga nimekuwa mkuuuuuubwa yaani yale maghorofa ya kariakoo nayaangalia kwa chiniLabda![]()
![]()
![]()
papuchi tu
afu nyieeee.....hili swali limekaa kisagishaji mashine sana, yaani nachopewa kama cha kuchora

Sio south kwa madiba ni south beachbinamu yangu alivyo mchumi sitaki kuamini mie labda kama hiyo safari yote unagharamia wewe
Oh, simu aliisahau hapa, nitakuletea asipoiijia. Unajua huku porini ngedere contacts zao lazima uende fizikale

...safari nagharimika mimi aunt, mimi si mbahili wala mchumi. Tutatembea kwa miguu ili kutunza barabara zetu. Mbona babu zetu walikuwa wanatoka musoma hadi uvinza chumvini kwa miguu kufuata chumvi?!
