Makapuku Forum

Makapuku Forum

6/ Hockey[ ]
73fe180ef163630fe4afbb53bca2b600.jpg
24412ebcf264f689a7facf6df83dedf0.jpg

Huu mchezo unaweza kuudharau lakini ni hatari kinoma
Sababu?
Wachezaji huvaa kofia ngumu na viatu vya kuteleza/matairi hivyo kusababisha mtu kuanguka kwa urahisi na pengine kujigonga ukutani pindi akisukumwa
Sasa pia unaweza kujikuta unateleza na kuchanika msamba
Huu mchezo unahitaji umakini mkubwa na nguvu
Mara kadhaa wachezaji hufanyiana ubabeubabe tu

........
......

hiyo midamuu
 
5/Football
133b6c0c036ba4df9a5813d2ec5dcadd.jpg
910eadf036b463e81bedea83539e4fcb.jpg

Hapa tunaongelea mpira wa miguu wa Kimarekani(American football) pamoja na wa kawaida
Hapa watu hugonfana na kutumia vibaya au kuchezea na rafu za makusudi
ca35103e0f482ea2f359b895b5c98682.jpg
bc315ccb822ba82fb07264bfa6db8fc5.jpg
Hapa Eduardo Da Silva akichezea kwanja
b8e210aa9f45394ef5e9def4a779fc6c.jpg
<br />Haps Djibril Cisse akiwa kavunjika vibaya
8161af758a2b667ad0aaad625be9348d.jpg
4058c3e4a51706601b5fc11cd0c8a796.jpg

Wengine hudondoka uwanjani na kufariki kama Marc Vivien Foe mmoja kati kiungo box to box bora zaidi kuwahi kutokea ambaye hakuwa na mbwembwe km za Pogba yaani nywele fupi kipilipili tu
:
........
 
5/Football
133b6c0c036ba4df9a5813d2ec5dcadd.jpg
910eadf036b463e81bedea83539e4fcb.jpg

Hapa tunaongelea mpira wa miguu wa Kimarekani(American football) pamoja na wa kawaida
Hapa watu hugonfana na kutumia vibaya au kuchezea na rafu za makusudi
ca35103e0f482ea2f359b895b5c98682.jpg
bc315ccb822ba82fb07264bfa6db8fc5.jpg
Hapa Eduardo Da Silva akichezea kwanja
b8e210aa9f45394ef5e9def4a779fc6c.jpg
<br />Haps Djibril Cisse akiwa kavunjika vibaya
8161af758a2b667ad0aaad625be9348d.jpg
4058c3e4a51706601b5fc11cd0c8a796.jpg

Wengine hudondoka uwanjani na kufariki kama Marc Vivien Foe mmoja kati kiungo box to box bora zaidi kuwahi kutokea ambaye hakuwa na mbwembwe km za Pogba yaani nywele fupi kipilipili tu
:
........

 
4/Gymnastic
de62fab982e657becd989e2cdd8843a2.jpg
33faf1b2c2b105390f53d4d2aa04e147.jpg
e5dcdcbe646aaf5f9906321893fa2cf2.jpg

Huu nao ni hatari pindi mtu anapokesea mahesabu huweza kuvunjika vibaya
Pia wakati wa kuruka juu unaweza kuzidisha kipimo au kupunguza sasa utajikuta unaangukia sehemu isiyo na godoro na hapo lazima uvunjike au pengine kufa
Pia kuna ajali za nguo kuchanika hivyo kujikuta unakaa uchi mbele za watu/kamera

......
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom