Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kiranja mtengenezaji.

Aliitengeneza Iraq, akaigusa Somalia akahamia Afghanistan akarudi Iraq, akaenda Libya akaingia Syria na sasa anaelekea Korea Kaskazini.

Huyu kiranja mtengenezaji anatengeneza kwelikweli mambo mazuri ya kupendeza na watu wote wanamsifu na kumtukuza kwa namna bora ya utengenezaji.

Binafsi kwa jicho la tatu namtazama kiranja huyu na kubaini kuwa hajawahi kutengeneza yaliyo mema kote huko alikokwenda kwa hoja ya kutengeneza, jicho langu linanionesha kiranja huyu ni mharibifu, kila anapoingia akijinadi anakwenda kutengeneza basi fahamu kiwa anakwenda kuharibu na kupaacha penye shida kubwa kuliko kabla hajaenda mtengenezaji.

Kiranja mtengenezaji ifike mahala ujitathmini. Rudi VETA ukajifunze tena namna bora ya utengenezaji. Ni hayo tu.
601dfe8426ff35bedc5f8c34e5395d66.jpg
 
6/ Hockey[ ]
73fe180ef163630fe4afbb53bca2b600.jpg
24412ebcf264f689a7facf6df83dedf0.jpg

Huu mchezo unaweza kuudharau lakini ni hatari kinoma
Sababu?
Wachezaji huvaa kofia ngumu na viatu vya kuteleza/matairi hivyo kusababisha mtu kuanguka kwa urahisi na pengine kujigonga ukutani pindi akisukumwa
Sasa pia unaweza kujikuta unateleza na kuchanika msamba
Huu mchezo unahitaji umakini mkubwa na nguvu
Mara kadhaa wachezaji hufanyiana ubabeubabe tu

........
......
 
7/Boxing
202d7e7bf093263b552199986bb806ec.jpg
7ca9d665483f66aa42a2be7861359c65.jpg
Hapa tunaongelea ndondi za kawaida pamoja na n ickboxing
Juzijuzi tu zimepigwa ngumi za kufa mtu kati ya Anthony Joshua na Vladimir Klitschko's ambapo tulishuhudia ngumi nzito kama mawe
Pia sio muda mrefu mdogo wa Matumla alizimia uwanjani baada ya kupigwa ngumu ya kichwani
Hapa wengi hupata madhara ya muda mrefu au mfupi
Mfano inasadikiwa Muhammad Alli baada ya kustaafu ngumi alipata ugonjwa uliotokana na madhara ya kupigana ndondi ambazo ziliathiri sehemu ya ubongo
Ila hawa jamaa huvuta mkwanja mrefu si mnamkumbuka yule mswahili Floyd Mayweather Jr :
......

Ndio namkumbuka ila mchezo pekee Wa ngumi niliowahi kuuangalia mie ni uleeee Wa Tyson kumng'ata sikio evander afu hata sikumbuki ulikuwa mwaka gn maana kitaambo saana enzi hizo bado sijawa muhenga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom