Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Aisee acha tu niendelee kucheza rede zanguEndelea kucheza rede
![]()
![]()
![]()
.....
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai namuona palee dr asha na kamishna shebby wakitaka kurogana
story inanogaa
Nakuonaaa![]()
konyezooo hiloo balaa
Hutu tududu hua twanichekesha aiseee na mishe mishe zao za kwenda mwezini..

Hapo ndio patamu sehemu hizo jamaan baba d usituangushe basi kipande hicho![]()
![]()
![]()
story inanogaa
7/Boxing
Hapa tunaongelea ndondi za kawaida pamoja na n ickboxing![]()
Juzijuzi tu zimepigwa ngumi za kufa mtu kati ya Anthony Joshua na Vladimir Klitschko's ambapo tulishuhudia ngumi nzito kama mawe
Pia sio muda mrefu mdogo wa Matumla alizimia uwanjani baada ya kupigwa ngumu ya kichwani
Hapa wengi hupata madhara ya muda mrefu au mfupi
Mfano inasadikiwa Muhammad Alli baada ya kustaafu ngumi alipata ugonjwa uliotokana na madhara ya kupigana ndondi ambazo ziliathiri sehemu ya ubongo
Ila hawa jamaa huvuta mkwanja mrefu si mnamkumbuka yule mswahili Floyd Mayweather Jr :
......
WifeeMpendwa wa binamu endelea basi hiyo story
KeshoMpendwa wa binamu endelea basi hiyo story
NIMEQUOTEE MIMIMpendwa wa binamu endelea basi hiyo story
my hubbyWifee

Oooh mmeanza tena jaman we si unacopy mpendwa wa binamu tupia tu hata mara mbiliKesho
Oooh mmeanza tena jaman we si unacopy mpendwa wa binamu tupia tu hata mara mbili

TunaonanaaNakuonaaa
Umemimisikaaamy hubby![]()