Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Msichana anacheza na ndegeebu malizia tafsili yako upande wa huyo msichana

Msichana anacheza na ndegeebu malizia tafsili yako upande wa huyo msichana

Real
Pia mtu mazungumzo binafsi anayaanika mtandaoni
Twitter ni mfano tu
.....

Watu wanaangahika kutafute malike
Asubuhi wakiamka cha kwanza ni kwenda kupost social media ili wapate malike ambayo hayana tija wanaacha hata kunywa chai
Pia kupeana like za kimagumashi
....
mabogaz hayoo
Huyu kiumbe akili zake anazijua yeyeHahahahaha hata uwe na stress vipi kwa Kansiime utacheka
Wee utanigombanisha na mpendwa wangu ujuekaka Bitoz hv huyu ni wifi eeeh
So fb lite haimalizi chaji?!Facebook ni jela ya simu
Bingwa wa kumaliza chaji & storage (binafsi natumia FB Lite)
.....
Mnabanjuanaa kisiriii nyieeWee utanigombanisha na mpendwa wangu ujue
Teh teh waache wabanduaneMnabanjuanaa kisiriii nyiee
Tulia kwanza basiiUtaelewaaa ngoja wee si umeanza fitina ??
So fb lite haimalizi chaji?!
Ohooo musigombane banaa nyiee ni nduguuNilijuuuuaaa tuuu ....sasa muachee
Asante NyageiCc all of us![]()
Let love lead us
Mimi siyo fan wa MadridSasa mimi ambae nashabikia timu hizi zote mbili sina hata la kusema zaidi ya![]()
G G M U
Halla Madrid
SurpriseImeniumaaa....
Kwa hasira leo nashusha kwa ufupi DARASA HURU LA KAPUKU ...ungependelea niweke nini ili tushare ..
Jambo lihusiane na binadamu na mazingira yanayomzungukaa ...