Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Watu wako bize na upuuzi wa media ata kama wanachoangalia sio sawa
watu wanajifanya wanasoma kila kitu kwenye mitandao ya kijamii, vitabu vinazikwa na jf
Ila ndo binadamuHata mimi
Mpwekeeee hadi hurumaaa kakope na ww ununue yakoo
Msukuma huyoMpwekeeee hadi hurumaaa kakope na ww ununue yakoo
Jamaa anachati na mchepukooo
Upo sawawatu wanajifanya wanasoma kila kitu kwenye mitandao ya kijamii, vitabu vinazikwa na jf
Ndo ukweli hata JF vitu vya kipuuzi ndo vinatambaWatu wako bize na upuuzi wa media ata kama wanachoangalia sio sawa
Loh mimba zinachatiii
teh teh! umbea ule mdau! "bad news are like wind"Tafsiri yako haijitoshelezi
....
ebu malizia tafsili yako upande wa huyo msichanaJamaa anachati na mchepukooo
Ndege wakeImwfanya nini?
.....
Ohoooo....lee empire hebu msikie huyu
Facebook likee
Realteh teh! umbea ule mdau! "bad news are like wind"
yani mjamaa anapewa habari yeye ameshawaza kuipeperusha kwa watu wengine