Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaaaa yaaan napenda tom jerry balaaa Mdau hebu niwekee picha ya tukatuni tunatoitwa Rabid invasion na Teenage Mutant Ninja Turtle..
ee79b6a9e268170d373806fda5e5b892.jpg
 
9/Rugby
aa469199107bd9163e4c5a4d977f09cd.jpg
7f76d31ba2254d330e4eb2eb2e12c769.jpg

Huu mchezo nao ni hatari
Kwa Afrika unachezwa zaidi wazungu Wa Afrika ya Kusini
Wachezaji wake ni mbavu nene maana kuna kukimbia,krruka na kusukumana hivyo wengi huumia mbavu,kuvunjika pia,kuzimia n.k
Ajali zake mbaya mara nyingi ni zile za kugongana ambazo wachezaji huzimia na hata kupoteza maisha
:
........
 
Naonaga wanao ucheza Wanavifua kama bao la chapati, nawaonaga kwenye Muvi za Leon Schuster wa SA
9/Rugby
b4e90fc00284806d71bc1de4b30b 10a9.jpg
7f76d31ba2254d330e4eb2eb2e12c769.jpg

Huu mchezo nao ni hatari
Kwa Afrika unachezwa zaidi wazungu Wa Afrika ya Kusini
Wachezaji wake ni mbavu nene maana kuna kukimbia,krruka na kusukumana hivyo wengi huumia mbavu,kuvunjika pia,kuzimia n.k
Ajali zake mbaya mara nyingi ni zile za kugongana ambazo wachezaji huzimia na hata kupoteza maisha
........
 
10/Motorcross
a45a743d7d1a1407d4ef1199f85699 c6.jpg
f9e9217103590ee2082b7e14cb90fd1b.jpg
Haya ni maonyesho/mashindano au mbio pengine mchezo ya pikipiki kwenye barabara za vumbi au sehemu maalumu iliyotengenezwa mafuta/vilima
Sasa huu mchezo unaendesha pikipiki kwa spidi kubwa halafu ukifika kwenye kilima unarushwa juu pengine umbali wa futi 10 na hata 50 sasa hapo ukikosea mahesabu shauri yako
Pia mara nyingine pikipiki inapata hitilafu ya kiufund
Ilitokea ajali watu huumia vibaya na hata kufa

...........

Duuu
 
9/Rugby
aa469199107bd9163e4c5a4d977f09cd.jpg
7f76d31ba2254d330e4eb2eb2e12c769.jpg

Huu mchezo nao ni hatari
Kwa Afrika unachezwa zaidi wazungu Wa Afrika ya Kusini
Wachezaji wake ni mbavu nene maana kuna kukimbia,krruka na kusukumana hivyo wengi huumia mbavu,kuvunjika pia,kuzimia n.k
Ajali zake mbaya mara nyingi ni zile za kugongana ambazo wachezaji huzimia na hata kupoteza maisha
:
........

Duuuu
 
8/Wrestling
542aef1e2cc6c4856591d612985b27a9.jpg
5e2e006f123f135f26bce8ee5fce94a9.jpg

Huu mchezo ukiwaangalia akina John Cena,Hulk Horgan ,Machoman n.k utauona kama maigizo tu
Kuna mieleka ya aina nyingi pia ya ridhaa...hapa pia wanakutana madume ya soka mwendo wa kupogana vipepsi na makabali tu
Wengi huvunjika mifupa..pia inapotokea mtu kurushwa nje ya ulingo ni hatari
Pia ulingo unapowekewa sentence
Don't try this at home!!!!
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom