shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante, nawe naiona piaNi salama kabisa mkuu
Naiona furaha ndani yako
Hongera sana
Asante, nawe naiona piaNi salama kabisa mkuu
Naiona furaha ndani yako
Hongera sana
Jamaa bwana mm hata simwelewi elewi alipata kamchumba akasema yuko busy ataka funga ndoa
Anajimikilisha bila kufuata utaratibu hajui tunamuangalia tuHajatoa mahali lakini
Sawa sawa mtaasisiNakusalimia mjomba.
Asubuhi njema Makapuku.
Nimeamka salama kipindi cha kwanza kimeanza bado bila bila, ila leo upepo uko upande wangu. Nimekutana na mhasibu akasmile akagonga tano najua masurufu yangu yatatoka.
You great people have a great rest of the day, tukutane jioni jioni
MnoMazoezi yanasaidia sana![]()
![]()
Uko poa lakini my loveShikamoo baba watoto
Ahsante Katibu lee kwa magazeti, UF, dondoo na hadithi.
Leo umepiga miguu yote mpaka kichwa
Perfect hat trick
Bila kumsahau mdhamini wetu Tumosa wa shululu katika ubora wake.
leo nyota yngu ang'ara kweli cio kwa udhamini huuBaba watoto wnguMy love
Hapana kuibiwa na huyo aliyemfuataKwa hiyo unataka kuiba![]()
![]()
![]()
Niambie mama wawiliBaba watoto wngu
Hata angeandka madudu ungeyakubali hvohvo
![]()
![]()
leo nyota yngu ang'ara kweli cio kwa udhamini huu
Na yeye anaweza kuibiwa vile vileHapana kuibiwa na huyo aliyemfuata
Baba watoto wngu