Makapuku Forum

Makapuku Forum

WANAWAKE MICHEZONI
Leo nitaanza na hawa mama zetu, dada zetu pia wapendwa wetu kwa kujitoa kwao michezoni kama kiumeni.

Huko Uholanzi kuna michuano inaendelea ya ulaya upande wa kinamama iliyoanza tarehe 16/7/2017
Timu 16 na mechi 31 michuano itaisha tarehe 6/8/2017

8ef162e1851ec7f2975ba65144f0fa28.jpg
f5879b55623c4b8d1a46c9f5890ca309.jpg
Germany ndiye mtetezi
Group D
c9d8ba13e3d2d46bf09010c0bfaf7159.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom