Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Hii ikiwekwa bongo itafilisika maana watu wanaweza kutoka hadi mikoani
Hii ikiwekwa bongo itafilisika maana watu wanaweza kutoka hadi mikoani
Interesting.....
Huyu marekani nae
Asante kwa hadithi, UF na dondoo za BBCIkulu ya Marekani yathibitisha kuwa Rais Donald Trump alifanya mazungumzo ya ya siri na Rais Vladmir Putin wa Urusi, wakati wa mkutano wa viongozi wa nchi zilizoendelea Kiuchumi-G20.
Viongozi wa Kiislamu nchini Uingereza wameonya kuwa mashambulizi ya chuki yanayofanywa dhidi ya Uislamu yamekuwa yakiongezeka.
Serikali ya Uganda kupitia wizara ya afya, inakusudia kuanzisha kifaa kinachomruhusu mtu kujipima virusi vyinavyosababisha UKIMWI.
Asante kwa magazeti..... Halafu nilivyoona umepost magazeti nilidhani Shululu labda hayupoHili gazetii jamaniii haliishiwa taarifa za korea![]()
Hongera mama wawili kwa udhaminiUdaku kwa udhamini wa nguvu wa Tumosa .....![]()
Hilo gazeti linaelekea kufa wamrshaishiwa haooHili gazetii jamaniii haliishiwa taarifa za korea![]()
Za asubui pachaGood morning ankali
Morning ankaliHii imevunja rekodi
Go ahead my twinNi matumaini yangu kuwa wote hamjambo na mnaendelea vyema na shughuli zenu za kila siku.
Karibuni kwenye Leo katika historia ambayo italetwa nami Jimena Jimenes JJ kwa udhamini wa Marekani na vikwazo vipya huko Iran
Karibuni sana
Tutalizika tuHilo gazeti linaelekea kufa wamrshaishiwa haoo
HBD Vitali klitschkoLeo katika Historia
1971 - Vitali Klitschko anazaliwa.
Ni bondia mahiri toka nchini Ukraine. Pia ni mwanasiasa.