Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ikulu ya Marekani yathibitisha kuwa Rais Donald Trump alifanya mazungumzo ya ya siri na Rais Vladmir Putin wa Urusi, wakati wa mkutano wa viongozi wa nchi zilizoendelea Kiuchumi-G20.
Viongozi wa Kiislamu nchini Uingereza wameonya kuwa mashambulizi ya chuki yanayofanywa dhidi ya Uislamu yamekuwa yakiongezeka.
Serikali ya Uganda kupitia wizara ya afya, inakusudia kuanzisha kifaa kinachomruhusu mtu kujipima virusi vyinavyosababisha UKIMWI.