Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika historia itafuata baada ya udondozi wa magazeti ikiwa leo ni siku ya jumanne, tarehe 18/7/2017 tutapata kufahamu yale yaliyojiri tarehe kama ya leo miaka ya zamani... Na utakuwa nami Jimena Jimenes a.k.a JJ kwa udhamini wa Tundu Antipas Lissu.... Karibuni sana
 
24c60d2a05c83e80d80321842bd79a8c.jpg

Mkhitaryan 29'
Lukaku 38'
Valencia red card 68'

Morning wadau
Nina usingizi balaa
....
 
Katika dondoo za bbc. ..




Rais Joseph Kabila afanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi. Ateua mkuu mpya wa jeshi hilo.

Marekani yaionya Venezuela kuwa itakabiliwa na hatua za kiuchumi iwapo itaendelea na mipango yake ya kutaka kuandika upya katiba ya nchi hiyo.

Idhaa ya BBC Somali inaadhimisha miaka 60 tangu kuanzishwa na Shirika la Utangazaji la Uingereza Julai 18 1957.

Hali ya upatikanaji wa mafuta ya petroli na dizeli imeanza kurejea katika baadhi ya miji nchini Tanzania baada ya Mamlaka ya mapato kuvifunga vituo hivyo kwa kushindwa kuweka mashine za kielektroniki kwenye pampu.
Kabila juzi kamg'atwa na nyuki
Leo kafanya uteuzi wa IGP labda machale yamemcheza nyuki wanataka kurudi tena
.
.
Shukrani mdau
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom