Makapuku Forum

....si unamkumbuka yule mganga uliyenipeleka pale niliponyimwa mshahara ?
Huyo huyo yule ambaye ulitaka kumtorosha msaidizi wake kile kidada cheupe

Ila ulinisaidia sana, yaani dawa nikawa napewa bure, kananiita shemeji kumbe wewe anko wangu
Sasa mambo ya 2013 yanaingiajee hapa ...

Nakuona tu au nimwambie husna mpango wako kwakeee
 
...oh, hivi Mimi ndo niliandika hayo, niliptiwa tu nashetani sasa kaniacha hapa nakunywa chai na croissant ndo nimejua kuwa wewe ni mshauri wangu mzuri nakutegemea sana.

Tukienda ile safari yetu itabidi tumkemee shetani
Binamu safari itakuwepo endapo utabadilika Mama ni mtu wa Mungu kabisa
 
6/Yenisei River
Unapatikana huko China
Unaandikwa pia kama Yenisey
Upo kwenye jimbo la Mongolia na unamwaga maji sijui unatokea bahari ya Aktiki
Una urefu wa Km 3487
.
.
Na huu ungekaa huko nyuma
Ndiyo maananikasema kwenye utanguluzi watu wanapishana mito waipimaje
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…