Ni beki kipande cha mtu ....kwa umbo na sura kafanana na
Jan Kohler wa Jamhuri ya Czech
Alishinda mataji matatu mwaka 1999 na kuwa kwenye kikosi cha kihistoria
Kosa pekee alilofanya likamgaharimu ni kutaka kushindana na babu SAF matokeo yake akauzwa kama mbwa !!
Sikio halizidi kichwa
.......