Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,006
- 150,541
Tupooo karibuuMakapuku wenzangu wazima?
Post sent using JamiiForums mobile app
Tupooo karibuuMakapuku wenzangu wazima?
Post sent using JamiiForums mobile app
Na kwako pia mke mweeUcku mwema wapendwa nawatakia maandalizi mema ya mwanzo wa wk
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nijibuuu...tege ataitaa mguu wa bia
Thipendiiiii thipendweeeziiiiiii na hii hali ...mara ya nne[emoji9][emoji9][emoji9]
Ulaliwajiiii mwemaaaaa....Ucku mwema wapendwa nawatakia maandalizi mema ya mwanzo wa wk
WasalimieAsantwwww na kwaherini.
Naenda kwenye vijana wa kutoa likes.
AhahhahaHuyu pasua kichwaa
Asantwwww na kwaherini.
Naenda kwenye vijana wa kutoa likes.
Hawachelewiiii kuja na gia hawaHa ha ha ha ha ha ha ha ha ha.... Mbona unamkatisha tamaa?
Tangazo la Wadhamini:
Mapumziko haya yanaletwa kwenu kwa udhamini mnono wa shululu na Tumosa kwa ukaribu kabisa wa Shunie na anko lee empire , bila kuwasahau wadhamini Jimena na kagame, Transcend na Sakayo chini ya ufadhili wa husna muba na mimi.
Bila kuwasahau Nyagei na Linamo , demi na Mondray , mzeewakungoa na Clkey , Mndali ndanyelakakomu na Valentina , BlessedHope na werrason
NB: wadhamini wa para ya pili hawajamaliza kulipa pesa za udhamini
Hivi shemela kwani cheupe ni umbo jaman
Hali ipi tena jamaanThipendiiiii thipendweeeziiiiiii na hii hali ...mara ya nne
Ha ha ha ha ha... Kinga ni bora kuliko tiba [emoji2]Hawachelewiiii kuja na gia hawa
Tangazo la Wadhamini:
Mapumziko haya yanaletwa kwenu kwa udhamini mnono wa shululu na Tumosa kwa ukaribu kabisa wa Shunie na anko lee empire , bila kuwasahau wadhamini Jimena na kagame, Transcend na Sakayo chini ya ufadhili wa husna muba na mimi.
Bila kuwasahau Nyagei na Linamo , demi na Mondray , mzeewakungoa na Clkey , Mndali ndanyelakakomu na Valentina , BlessedHope na werrason
NB: wadhamini wa para ya pili hawajamaliza kulipa pesa za udhamini
NyimboAhahhah nyimbo au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeupe cheupe ni umbo, si ushasikiaga cheupe dawa? Dawa mara nyingi iko kwenye umbo, bonge au slim
Kisela nzuriiiBinamu kama haipo ya ray c niwekee ya vee money mapenzi ya kisela
Binamu sikuelewiiiii naomba nyimbo ninazochagua kama hauna bundle nikutumie jaman
Shangaa na wewe jamaan[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umetupelekaaa chaka binamu huu wimbo mbona video siyo yenyeweee.....
Kweliii wkend imekuwa tamu